Jotojiwe
JF-Expert Member
- Mar 24, 2012
- 335
- 130
Sasa hali ipo wazi, tena wazi pasipo kificho! Ule usemi usemao 'MALIPO NI HAPA HAPA DUNIAN' kweli unaenda kutimia, Mtazameni PM PINDA ambaye angeweza kuokoa mamia ya watu waliokufa ktk mgomo wa madaktari sasa yupo ktk hali gani, njia yake ni nyembamba kama ya nyoka, kama alivyoshupalia ule mgomo kutousitisha nae atashupaliwa kutokua PM ktk taifa hili.