Nduka
JF-Expert Member
- Dec 3, 2008
- 8,552
- 2,360
Alipima ukimwi na kujikuta salama lakini kuhusu mimba alitaka mumewe arudi waamue la kufanya.
Huyu dada mwehu au alitaka kumpa presha za bure mume wake, kama hakuwa ameambukizwa ukimwi na kwa kusubiri uamuzi wa mume wake inamaana yupo tayari pia kutoa hiyo mimba, sasa alimsubiri mume wake ili iweje? kwani angetoa tu hiyo momba na kutulia ili asimuumize roho mume wake angekosa nini? Mshauri jamaa aachane na huyu mwehu atakuja kumuua kwa presha tu, akimuacha kwa hili siku nyingine atakuja kugongwa na mtu akaja kumuelezea jamaa yake kisha aombe msamaha.