Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,844
Nawashukuru sana wote mliochangia mada hii nawajulisha kwamba wazazi wa pande zote mbili walikaa na kuamua waache mtoto azaliwe na apewe familia ya kizungu ambaye hawana mtoto.na wenyewe wajaribu kupata mtoto mwingine baada ya muda kupita.
...shukran. Ila na mashaka hayo maamuzi yameegemea zaidi kumfurahisha mume. Anyway, 'kila mbuyu na shetani wake!'