dalalitz
JF-Expert Member
- Sep 6, 2013
- 3,476
- 2,086
- Thread starter
- #101
msimamo wa aina hii kwa kiumbe jinsia ya kike ni hatari kwa maisha ya kimahusiano ningewafumba wasiuone mabinti wooote, Narudia tena ni hatari na haufai.Kwanza niseme tu kwamba huyo dada bado unampenda ndio maana roho inakuuma mpaka baada ya miaka minne.....
Umpe adhabu ya nini? Alipoondoka aliondoka na dushe yako?? It is a free country....kuwa na mpenzi haimaanishi kwamba unamiliki moyo wake. Ana haki ya kufanya maamuzi yanayohusu maisha yake binafsi....humtaki mwsmbie tu kwamba sikutaki.