Alinitenda, aliniumiza, nataka kumuadhibu

Alinitenda, aliniumiza, nataka kumuadhibu

We chizi kbs. Unampenda bado tena kwa saana ndio maana roho bado inakuuma. Ungekuwana akili timamu ungeshapotezea zamaaaaani. Kalagha baho na......
 
....mkuu...
Kosa ulilifanya mwanzo wakati mnaanza mahusiano..kama msichana huna mpango nae..na huna malengo kwanini una mtongoza...??..
Kama shida yako ni papuchi mbona wasamalia wema kibao tu wanauza mbunye..tena kwa bei nafuu tu...??
Ulikosea ulipokosea ni pale ulipomweleza kuwa kwake unasuuza rungu tu....unapoamua kuanzisha mahusiano na mdada lazima uwe na dira...lazima ujiulize kwanini nipo kwenye mahusiano...na ninataka nini kwenye mahusiano haya...otherwise mtakuwa mnapotezeana muda ambao ni mali.
Kwa mtazamo wangu wewe ndiye unastahili adhabu...

asanteeeeeeeee.
 
Acha visasi vya kibwege wewe....remember relationships are seasonal sasa wewe kipi hasa kinachokufanya utake kisasi...nonsense
 
Back
Top Bottom