Alinisaliti, nilichomfanyia hatokaa anisahau daima

Alinisaliti, nilichomfanyia hatokaa anisahau daima

something like that was happened to me, nilimfumania mpenzi wangu anajadili game waliyopiga jana yake na boya mwingine huku mim aliniambia anamatatzo ya tumbo daktari kamwambia asisex kwa muda kidogo.

ilibidi niwe mpole nikajifanya kama sijui kitu, weekend nikamuomba aje alale kwangu, akakubali. daaaah I made the longest night to her, kesho yake alishinda analia tu asubuh nikasepa nimerudi jioni nikamwonyesha text. hakujibu akaondoka alichoniambia tu ananichukia kama shetani, I didn't care.

Ila baada ya miaka kwenda nilikuja kukutana naye office moja kumbe ndo anapofanyia kazi, alinipokea kwa furaha na tabasamu na kunitambulisha kwa wafanyakazi wenzake mimi ndo mume wake na kazi yangu aliishughulikia yeye mwenyewe tena kwa haraka. na tukabadilishana contacts

baada ya kutoka pale roho iliniuma sana nilikumbuka unyama wote niliomfanyia na kusahau makosa yake.

lakini still naamini "if you can't forget, hard revenge is the best way"
 
Kisa kizuri chenye mafundisho bila shaka huyo demu alipitia kipindi kigumu ambacho wewe hukukijua wakati ulipokuwa nje ya nchi
 
Bro...Nakuunga mkono kwa Asilimia zote! Na mimi mshipa wa kusamehe watu aina hiyo ulishakatika,mimi nilichomfanyia kwa kweli ni zaidi ya hicho.....Wataelewa tu.
 
Katika maisha huwezi kupata kila kitu, ndio maana kuna kitu inaitwa "kuridhika".
Kwahiyo kwa muda wooote huo alokuwa nae alikuwa hamridhishi? Au hakuweza kumridhisha kwakuwa sasa yupo sehemu nzuri? Asiye wa kuridhika sio wa kuridhika tu hata sio wa kutafuta visingizio.

Na kama huridhishwi si uongee na mpenzi wako mueleze akufanyie nini ili uridhike.
Cheeeeeh!!!

Kuchepuka hakuna justification ni uma.....ya tu.
...la...
 
Unasema mwanamke akisalitiwa ni less painful kwake? Kwa kuwa yeye ana moyo wa jiwe ama hana hisia? Ila nyie mkisalitiwa ndo panauma kwa kuwa mna mioyo ya nyama sio? Endeleeni kusaliti, wanawake nao siku hz wameamka, wamechoka kufanywa wajinga. Ukimsaliti huku na yeye anakusaliti kule. Sasa ukijua unasalitiwa kunywa maji ushushie... Usaliti unauma pande zote. Usijidanganye eti kwa mwanamke ni less painful
Hahaaaaaa thank you mrembo,at least umetoa dukuduku lako mamii.
 
Hizo nyavu zako ambatanisha na muamala wa mpesa hebu
Tatizo mimi sina nyingi kama Ngabu,Ngabu yuko land of milk and honey,mimi muuza karanga katikati ya jiji la Makonda si utanifanya nikose kodi ya nyumba kachumba kule kwa mfuga mbwa?
 
Naweza kuwa tofauti na wachangiaji wote,demu umeishi nae mpaka ukafikia hatua ya kuoa kwa story yako yaonyesha ni zaidi ya miaka mitatu,kuniambia ulipomuoana uliunga unga kumtambua haijakaa poa rudia tena utungaji,then Salam yake ilikuwa hv upo nilikutafuta sana miaka mingi ndg mwandishi story haijaanza poa,ila hayo mbele ya mafigisu ya kumkomoa huko hata me ningefanya kikatili zaidi yako.
Komaa Lea wanao hilo ndio la muhimu.
 
mkuu pole sana..
hata mimi kuna kitu huwa kinanisumbua kichwa

>huwa napenda niwe na
familia baadae
>lakini naogopa sana
kuoa

maana visa vya ndoa au mahusiano kwa ujumla huwa ni tishio kwa kweli maana kila nikijaribu kugeuza visa vya wenzangu viwe vyangu huwa napata uwoga sana wa kuthubu hata kujaribu.
Wewe tatizo lako ni umri!
 
Mmmh nikiona mwanamke anapendwa na kupewa care ya hali ya juu lkn hajali hua naumia sana.... wengine ata kumi hatupewi, unaumizwa lkn bado hufikirii fanya huo ujinga but all in all maisha ndivyo yalivyo
If you are in an abusive relationship..you need to get off my dear sis!!! Let go...
 
"..kuna wengine ukilipiza kisasi ndio wanabarikiwa.."

Usiniambie huenda naye alibarikiwa baada ya kuliwa tiGO

[emoji2][emoji2]
Kuna wengine sio wote.. Wengine ndo michezo yao so unakuwa hujamkomoa bado...Siku hizi wanachama wa huo mchezo ni wengi na mwingine nimeona anaomba ushauri afanyeje ili mumewe ampe....unamfanyia hivyo still anapata mume mwingine na maisha yanaendelea...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom