Alinisaliti, nilichomfanyia hatokaa anisahau daima

Alinisaliti, nilichomfanyia hatokaa anisahau daima

Ukishaweza kusamehe japo mara moja baada ya kuumizwa sana basi haikupi shida kabisa kusamehe tena na tena hata uumizwe vipi. Huuo muda na nguvu unazotaka kurevenge si uelekeze sehemu nyingine ambayo itakuwa na manufaa kwako?
Ujue revenge ni msukumo wa kihisia ili upate ahueni ya maumivu ulionayo..in this case ukiwa na maumivu u only care about namna gani napunguza maumivu,
 
Ila Mkuu inabidi sasa uendelee na maisha yako. Inabidi uanze kufikiria kupenda tena na hivyo kumkaribisha binti mwingine kwenye maisha yako. Binti ambaye atakuwa tayari kuwapenda wanao bila ya kuwabagua kwa namna yoyote ile, it is not too late Mkuu to love and be loved again.
Aisee suala la kupenda huwa linakuja lenyewe pale anapotokea mtu sahihi.. na hiyo huwa haijalishi misimamo yako at the moment..

Wapo waliokutwa na mikasa mikubwa kuliko hiyo... ukisimuliwa utahisi unadanganywa... Waliapa kwa Mungu hawatojihusisha na mahusiano.. Ila MOYO walioumbwa nao ni wa binadamu
Muda ulipofika walipenda tena.

Kwahiyo mtoa post mi naona atulie tu na msimamo wake.. ikifikia wakati maalumu misimamo yake itakuwa haina nguvu tena atafanya litakalotakiwa kufanyika kwa wakati huo..

Asianze kutafuta kama hayuko tayari..
 
Perfect theory, I can teach all day,ngoma kupractise mamaa...Acha tuu somethings in life nasubiria nkamuulize Mungu anipe clear reasons na picha zima ambalo silioni likichezwa duniani, fainali mbinguni...
Aisee tangu nijue kuwa kuna wakumtwisha magumu yangu, nambebeshaje teh. Nanijua nipo weak, so kabla sijafanya la kuniumiza , nambwagia tu mzigo puuu. Believe me everybody has been through shits at some point, tumetofautiana tu jinsi ya kudeal na maumivu yetu
 
Duh! huyo dada naye boya kweli! What a wasted chance! If it was me I would have pretended to not remember nothing about you, ufure na kuabika once again. "Oh your name sounds familiar, but I cant really place the face. Did we graduate high school same year or s'thing?"
Wewe Nemo weee?,yaani humuogopi MUNGU ?
 
Aisee tangu nijue kuwa kuna wakumtwisha magumu yangu, nambebeshaje teh. Nanijua nipo weak, so kabla sijafanya la kuniumiza , nambwagia tu mzigo puuu. Believe me everybody has been through shits, tumetofautiana tu jinsi ya kudeal na maumivu yetu
Ndio maana nimemwambia tu simple kuwa acha niseme tu 'never' maana hajui km nimewahi kuumizwa au la, kwahiyo kusema hayajanikuta nimeishia kucheka tu. Ujue kila mtu huwa anaona maumivu yake ni mazito kuliko ya mwingine.

I chose not to revenge and i found it more usefull and releaving and i'll never revenge.
 
Alidhan alkuwa anamkomoa dem kwa kumla tigo joanah
wapo ambao ukimla tiGO ni sawa na kumpiga teke chura..

pia

wapo ambao ukimla tiGO.. aisee anaweza kujinyonga..

ila kwa huyo demu wake aisee
inaonekana wazi lile ni teke

sio kwa kufurahi kule siku waliokutana tena baada ya kupotezana kwa muda mrefu..
 
Ndio maana nimemwambia tu simple kuwa acha niseme tu 'never' maana hajui km nimewahi kuumizwa au la, kwahiyo kusema hayajanikuta nimeishia kucheka tu. Ujue kila mtu huwa anaona maumivu yake ni mazito kuliko ya mwingine.

I chose not to revenge and i found it more usefull and releaving and i'll never revenge.
Good for you
 
Ndio maana nimemwambia tu simple kuwa acha niseme tu 'never' maana hajui km nimewahi kuumizwa au la, kwahiyo kusema hayajanikuta nimeishia kucheka tu. Ujue kila mtu huwa anaona maumivu yake ni mazito kuliko ya mwingine.

I chose not to revenge and i found it more usefull and releaving and i'll never revenge.
Amen to that momma
 
Revenge???? No way i don prefer that...kuna watu wanakuumiza hadi unashindwa kujua uwafanyeje.... Wengine ukilipiza kisasi ndo wanazidi kubarikiwa badala ya kuharibikiwa hahaaaa....If you break ma heart into pieces i would either forgive you and stay or forgive you and let you go.... Forgiveness gives me the inner peace and not revenge.....
 
Wakuu mimi ni member humu jamvini ila imenibidi kufungua account mpya ili niweze kuleta huu Uzi hapa,hii ni kutokana na kufahamiana na watu wengi kupitia account yangu ya siku zote. Nimeona hii ndio njia nzuri ya kueleza yangu ya moyoni bila kua na wasiwasi wa ku expose identity yangu...Nahisi uzi utakua mrefu ila mnisamehe maana mimi sio mwandishi mzuri.

Jumamosi iliyopita nikiwa katika matembezi ya hapa na pale katika fukwe moja hapa jijini,nimekaa na co worker napata juice ya baridi huku yeye akiisindikiza siku na castle light.wanaingia wanawake wawili mmoja mnene sana kimaumbile.wanaketi meza jirani kidogo na tulipo sisi,Ghafla nakosa amani,mapigo ya moyo yanaongezeka.. Nakua nawatazama sana hawa wanawake,ila wao naona hawa ja pay attention kwetu hivyo hawajatuona..baada ya muda huyu co worker ananiuliza kama kuna tatizo,najishtukia kidogo najikaza namwambia hamna tatizo lolote.ila kiukweli macho na akili yote imehamia kwa huyu mwanamke mnene,kila nikimtizama nahisi kumfahamu licha ya kutoonana nae kwa muda mrefu sana, ni jioni tulivu,anakuja muhudumu wanatoa oda,baada ya muda mhudumu anarudi na Smirnoff (vodka) club soda,glass mbili na vipande vya limao. Wanafungua wanaanza kunywa taratibu, muda unaenda nakosa uvumilivu namfuata huyu mwanamke, nafika walipokaa namshika begani,


"Habari yako???"
Ghafla anashtuka sana,Ananiangalia kwa muda kisha anainuka na kunikumbatia humu akitaja jina langu. Ananiachia na kunitizama tena kwa Mara nyingine,kisha anaanza kuniuliza
"Za masiku? Upo kweli? Mbona unazidi kua kijana?unafanya sana mazoezi eh?nimekutafuta sana mbona, blah blah blah + maswali mengi yasiyo na mwisho.
Mara ya mwisho namuona alikua binti mwenye umbo lililojengeka ipasavyo,nashindwa kuvumilia namuuliza " ndugu huu unene ni wa uzazi nini???anacheka anajibu hapana ni maisha tu.anaangalia mezani kwetu na kuhoji kulikoni mbona unakunywa juice unatumia dawa nini??natabasamu namwambia nipo kwenye dozi kweli(japokua si kweli)Tunaongea mawili matatu narudi mezani kwangu huku tukiwa tumeahidiana tutaongea zaidi maana bado tupo sana.


Huyu mwanamke ni nani????

August 2008, nafamiana na huyu msichana mrembo,baada ya urafiki wa muda tunaanza mahusiano ya kimapenzi. Mimi nafanya kazi katika shirika la kiserikali yeye akiwa mwaka wa pili chuo, baada ya muda mapenzi yananawiri sana ikafika hatua nikawa nimemtambulisha kwa baadhi ya ndugu jamaa na marafiki,katika kipindi cha mwaka na nusu hivi mpaka ilipofikia hatua anahitimu chuo kwa kweli kwangu alikua 'perfect woman'. Akaniteka haswa nikasahau habari za wanawake wengine kabisa, anahitimu chuo natumia influence yangu namtafutia kazi kwenye kampuni flani hapa hapa jijini, anaanza kazi na tunaanza kuishi wote.(japo kwao aliwaambia kua anaishi kwa rafiki wake wa kike)...muda unaenda huku mapenzi yakishamiri, asubuhi nampeleka kazini na mimi naenda ofisini,akitoka anakuja kunisubiri(ye anawahi kutoka) tunarudi wote nyumbani.


Baada ya mwaka tunaanza process za ndoa,hakutaka kuzaa kabla hatujaoana. Utaratibu wa kutambulishana unafanyika,ndoa inapangwa baada ya miezi nane kutokana na majukumu ya kikazi,kila mmoja ana furaha moyoni mwake. Nampa full power kwenye baadhi ya miradi yangu asimamie yeye..simfatilii huko kwenye hio miradi wala kuhoji financial status zaidi ya kumwambia awe makini maana nataraji kuanza ujenzi mwingine inaweza kufika mahali nikahitaji msaada wake..namuonea huruma anavyotoka kazini mapema na kuja kunisubiri mimi kila siku ya kazi, namfundisha kuendesha gari,anapata kauzoefu hatimaye siku yake ya kuzaliwa namfanyia surprise namnunulia gari.. Mipango ya harusi inaendelea pande zote mbili


Usaliti unaanza
Nikiwa sijui hili wa lile akaanzisha tabia mpya ya kuchelewa kurudi nyumbani, nikawa natoka kazini nampigia hapokei(hili halikunipa shida sana maana alikua si mzoefu sana barabarani hivyo akiwa anaendesha hapokei simu) nafika nyumbani simkuti,akirudi kila siku sababu mpya, muda si muda akaanza tabia anaondoka na gari asubuhi akirudi jioni anakuja kachelewa na gari haji nalo,analiacha kazini,sababu anazotoa yani nilikua hata sijielewi,Mara naona uvivu kuendesha,jioni sioni vizuri blah blah blah, alikua na mdogo wake kaanza 1st year udsm pale akamfanya kama cover story yake, kila akichelewa anadai alikua nae anampa company.simu zangu akawa mgumu sana kupokea,akabadilika ghafla. Kuna siku kachelewa kurudi,nimekaa sebleni nakunywa whisky na kujisomea kitabu Fulani,alivyofika akaniambia Ana akshi sana twende chumbani, baada ya mambo mambo ile nataka kuingia ikulu nikahisi kabisa hii ikulu imedukuliwa na wajanja,the thing is am old enough na huyu mwanamke namjua sana so nika notice something haipo sawa hapa.nikakaza moyo konde nikaingia mchezoni japokua akili haikuwa sawa kabisa. Bado kama miezi minne ndoa inakuja,maisha yamebadilika, ye anawahi kutoka kazini ila kufika nyumbani kila siku ananikuta mimi, nyumbani hapiki kuna mahali akawa anapitia chakula karibu kila siku(napajua)

Nikaanza upelelezi, sina tabia ya kugusa simu yake na sikuona sababu ya kuanza kufanya hivyo,kuna siku nampigia,after kama missed call 5 anapokea,ni SAA 3 usiku hajarudi nyumbani,namuuliza alipo ananiambia bado bado kuna foleni,basi namwambia ptia chakula anasema haya,nawasha gari naenda hii sehemu anapochukulia chakula napaki kwa mbali kidogo najibana mahali nakunywa bia yangu taratibu,muda si muda anaingia my wife to be na kijana mmoja,wanafungiwa chakula wanaenda parking,jamaa anamtolea mkoba kwenye gari kisha wana French kiss jamaa anaondoka wife anachukua bajaji anaondoka pia. Hapa ndo nikaelewa kwanini gari analiacha kazini,after work kuna MTU anakuja kumchukua.

Naamini humu tu watu wazima na kila mmoja wetu anafahamu hisia za usaliti zilivyo hivyo sihitaji kuelezea.. Narudi baanyumbani SAA 9 usiku nikiwa nimelewa sana,nafika nalala sebleni huku wife to be akijifanya analalamika sana,najitahidi kumpuuza,kesho yake nashindwa kwenda kazini.simuulizi chochote,, baada ya siku mbili anarudi kachelewa,baada ya kumkiss nagundua amekunywa, ndugu nlikua sijawahi kumpiga mwanamke maishani mwangu ila hio siku nilimpa kichapo vijana wa sasa hivi wana msemo wao kua 'sio cha nchi hii' yani pombe ikakatika akanieleza anavyogawa uroda a-z!!! Nikasaidiana na mlinzi tukampeleka hospitali maana alipasuka ikabidi wamshone bila ganzi maana alikua amekunywa pia.kesho yake baada ya kujadiliana tukawasiliana na pande zote mbili harusi isogezwe miezi minne mbele kutokana na sababu mbalimbali.p


Time for revenge
Nlijitahidi sana kumsamehe lakini sikuweza,akawa mnyenyekevu kupita kiasi lakini moyo wangu ukakataa kabisa,sikumwambia MTU yoyote na mipango ya harusi inaendelea, nikawa chapombe,si kazini si nyumbani pombe akawa ndo rafiki yangu.. Sina hisia na huyu mwanamke tena,kilichobaki na kumfanyia kisasi kisha nimuache(sina moyo wa kusamehe,I tried but it didn't work).kila aina ya kisasi naona kama hakitoshi,I went crazy kuna muda nlitamani ata kumuua yanii... Nakaa naye namwambia achukue likizo ya bila malipo twende vacation ya kimya kimya kabla ya harusi tuone ni jinsi gani tunaweza rejesha penzi..naongea na bosi wangu(long time friend) namwambia a-z bila kumficha, kuna nafasi zilitoka kwenda kuongeza ujuzi nje pale kazini sikufatlia maana ziliingiliana na ratiba ya harusi,tuka force na bosi pale akanichomeka. Nikatumia ka ushawishi kidogo kwenye hii kampuni ya bidada wakampa ka likizo japokua kishingo upande sana


Vacation inaanzia unguja na huyu mwanamke,mi napanga kisasi tu,ye anajua tunaenda tafuta muafaka,nshakua pombe MTU hapo... Kwa kifupi Mwezi mzima tulitembea mikoa kadhaa hapa nchini,katika kipindi hiko chote sikuwahi kupata hisia nae tena,nlimpa tabasamu la kinafiki muda wote. Tulipokua znz mwanzo wa vacation nikamshawishi sana nianze 'kuruka ukuta'(samahani kama ntamkwaza MTU hapa) anakua mgumu ila baada ya ushawishi na influence ya pombe anakubali. Yani nlikua simjali hata kidogo,akawa Analia kila siku kua namuumiza lakini nikawa nampoza kinafiki,mwezi mzima nikamfanyia uchafu bila huruma.

Tunarudi jijini,naenda kwa mama namwambia kua Hamna mke pale wala ndoa,naanza maandalizi kimya kimya ya kwenda nje,narudisha usamamizi wa miradi yangu yote,siku si siku bidada yupo kazini nabadilisha lock za milango,natoa kila chake nampa mlinzi na kinote ampe kikiwa na maneno machache tu. Nakaa kwa boss kwangu siku mbili naenda nje

Nakutana na binti wa kitanzania(RIP) nje,nae kachoshwa na mahusiano,tunasaidiana 'kupambana na baridi la ulaya' katangulia mbele ya haki Ila kaniachia zawadi ya mapacha(boy and a girl). Ni mwaka wa pili tangu tumzike na ilikua ndio siku yangu ya mwisho kunywa pombe!!!!!

Maisha yanasonga,sitaki kusikia habari za kuoa maana najua sina moyo wa kusamehe na maisha ya sasa ndo mwendokasi kwelikweli. Sasa hivi watoto wangu ndo dunia yangu, +work and gym.
Eway huyu mwanamke jumamosi alinipa namba ila nikazifuta,maisha safari ndefu wakuu. Poleni kwa Uzi mrefu

The best revenge is forgiveness, don't follow my path
Looohh kuna watu wanajua kuchezea bahati!! Hadi uchungu, kupendwa kiasi hiki halafu unafanya usaliti!!! Eeeeh Mungu tusaidie!! Pole sana mkuu!!
 
Revenge???? No way i don prefer that...kuna watu wanakuumiza hadi unashindwa kujua uwafanyeje.... Wengine ukilipiza kisasi ndo wanazidi kubarikiwa badala ya kuharibikiwa hahaaaa....If you break ma heart into pieces i would either forgive you and stay or forgive you and let you go.... Forgiveness gives me the inner peace and not revenge.....
Then that makes you a better man than me
 
1.pole sana
2. hivi wewe ni nani? I'd yako zamani sema tu Kwani sh ngapi? si umesema ukweli? sema bana I'd yako tunayoijua wala hatutokushangaa
3: wasalimie Mapacha wako wambie nawapendaga.
 
Uswahili nuh huh!!? Ndio maana nikasema huyo demu boya...............IMO acknowledging your existence was beyond dumb! Let alone kukupa namba 😱!!!Like really, how desperate can one be? After unyama wote uliomfanyia history or not I would've given you zero air time.
Nemo,hata yeye huyo bibie alimfanyia unyama mkubwa jamaa mpaka akawa mlevi.
 
Back
Top Bottom