Shuleless
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 4,972
- 6,245
Sio chuki mkuu ni uhalisia....
Duh mkuu usituchukie hivi si vyema
Duh mkuu usituchukie hivi si vyema
Kweli ni ngumu ila ukilipiza kisasi madhara yake ni kubaki bila hisia....which is worsemoyo wa kusamehe ni zawadi MAALUMU toka kwa mungu..!
sio ngozi ya mwili kila mtu kapewa
Sawa mkuuSio chuki mkuu ni uhalisia....
.....Kwa hiyo Miss Natafuta wangu usirudi nyuma kutokana na huo mkwara ati tigo italiwa!
U still love her man,why do u care abt what she feels... Nkiachana na mtu I care less wether anapata mazuri ama mabay,nikiwa bado namfeel nataftaga njia za kumkomoa,...such is life tho..realize what u feel, u will gain so much power the day u meet her and feel no urge to depress her o anything, rather say hi and walk away smiling wt ur arms on ur new lady's waist...Yes....
Ila huyu mwanamke mwingine niliye nae sasa amenifanya ni recover 90% yule wa kule nimetokea kumdharau na kumchukia mno ingawa nimeshasamehe....ila kuna ile kitu moyoni nimeweka juu yake i.e.
" Your nothing, hata itokee unakufa hapo na matatzo/maradhi yako she can rot in hell for all that i care"
(na anajua sina hisia nae tena, kuna siku tulipishana sea cliff nikiwa na huyu mwanamke wangu wa sasa....alini salimia i ignored her nd gave her this very cold treatment and she felt it deep inside her i kno.)
hahaaa we ndo ule mdogo wake wa udsm amaPole shem wangu. Nakufahamu na hii story naifahamu pia. Ingawa na wewe ndivyo sivyo.
May her soul rest in peace jmn... Nawish angebaki hai mkalea watoto perhaps angebadili mawazo mkapendana mana wote mnajua maumivu ya mapenzi mngeyajenga yenu vizuriThe most open-minded woman I ever met,nimejifunza mengi kutoka kwake. Nilikutana nae nje akiwa anafanya masters yake,baada ya kuzoeana I told her my story!!! She'd usually say 'gym is the best therapy' tukawa tunafanya sana mazoezi at free days!!! Baada ya mwaka tukaanza intimate relationships(no string attached)...alikua nae kashapitia mengi hakutaka mahusiano
Well we had our twins, huku tukawa tunafanya kazi mikoa tofauti, I would spend every weekend with my family until she passed away,had a horrible car accident. We never took it further as she always considered me as a beloved friend and her kids dad(hii kitu ni ngumu kuelewa but we had the strangest relationship)
Deep down I knew that she loved me,maybe would have been married by now(who knows??) She means a lot in my life and making this twins happy is what I can do to repay her
"BADO ANAMPENDA"U still love her man,why do u care abt what she feels... Nkiachana na mtu I care less wether anapata mazuri ama mabay,nikiwa bado namfeel nataftaga njia za kumkomoa,...such is life tho..realize what u feel, u will gain so much power the day u meet her and feel no urge to depress her o anything, rather say hi and walk away smiling wt ur arms on ur new lady's waist...
Very true mkuu,ila ya Mungu hayana makosaMay her soul rest in peace jmn... Nawish angebaki hai mkalea watoto perhaps angebadili mawazo mkapendana mana wote mnajua maumivu ya mapenzi mngeyajenga yenu vizuri
Sure BAK kati ya vitu huwa namuomba Mungu anisaidie ni kutolipiza kisasi, naonaga ni upuuzi tu na kujiumiza, maana sidhani kama inasaidia chochote zaidi ya majuto tu.Mambo ya kulipiza kisasi siyafagilii hata siku moja. Hayana maana kabisa. Unalipiza kisasi lakini baada ya muda unajiona ni mjinga tu unatamani kuomba msamaha lakini ndiyo umeshachelewa. Kuna siku unaweza kuwa na shida kubwa sana halafu unaambiwa nenda mahali fulani muone XYZ atakusaidia unafika pale unamkuta yule uliyemfanyia roho mbaya kuliko hata ya shetani ndiyo kajaa tele. KARMA is always a bitch will come back to bite you ASS. Ni bora tu kuondoka na mihasira hasira yako na kumwambia mtu ukweli halisi kwamba wewe na yeye basi badala ya kuanza kupanga strategies za kumkomoa.
Sijaelewa unavyosema huna uwezo wa kufanya lolote, the least you can do is walk away.
My future plans is to build an empire with this kids, am happily married to these beautiful twins hapa.
BTW, your offer sounds tempting but nah, I'll pass.
'Takataka' aiseeee!!!Pole mkuu
forgive but don't forget.
Mwanamke ni kiumbe kibaya sana, hapo kaumbwa na mbavu za chobingo tu tena zile ambazo hazijakomaa lakini anajeuri, msaliti, punguani, nk
Imagine kama wangeumbwa kutoka walau sehemu ya juu ya mwili wa mwanaume let say walau ngozi ya kisogoni tu. Hizi takataka zingetusumbua sana.