Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 17,534
- 32,757
hayana fomula haya mavituMahusiano ni kitu cha ajabu sana, iwe kwa upande wa kiume au wa kike.
hayana fomula haya mavituMahusiano ni kitu cha ajabu sana, iwe kwa upande wa kiume au wa kike.
Expetations za nini? Sidhani kama alijiona mjanja ndio maana mwishoni amesema best revange ni forgiveness, its like anajutia alichofanya and he isnt proud of it(ndivyo nilivyoelewa) maybe km lengo lake lilikuwa ni kujiona mjanja.Ahaahahaha tatzo lenu ni Expectation af movie zinawaharibu sana mwsho wa siku kajiona mjaanja huyu 2017 kumbe bado anaugulia mpka leo ahahahahah ahahaha angekutana na mimi angejiua
Funguka bhana Shemeji ili tujue na side B...Pole shem wangu. Nakufahamu na hii story naifahamu pia. Ingawa na wewe ndivyo sivyo.
Expetations za nini? Sidhani kama alijiona mjanja ndio maana mwishoni amesema best revange ni forgiveness, its like anajutia alichofanya and he isnt proud of it(ndivyo nilivyoelewa) maybe km lengo lake lilikuwa ni kujiona mjanja.
Sijaelewa unavyosema huna uwezo wa kufanya lolote, the least you can do is walk away.Sometimes you have to give people the taste of their own medicine, im not blaming you for a revenge coz i know at least you feel released. Hata huyo amenenepa sababu ya stress, stress zinanenepesha so you won. Ila you guys jaribuni kuvaa kiatu cha mwanamke ambae umemsaliti halafu hana uwezo wa kukufanya chochote, yale maumivu ya ndani kwa ndani you can even rum mad, it real pains! Pole sana Mkuu! So what are your plans for the future? Are you still single or with someone? I think we can make a good coupleas i have passed on the same situations and experienced enough! These r/ships has no formula, use your head but take your heart with you.
![]()
Hahahahhaha we ulitaka afanye nn cha zaidi apo???Kwahio revenge yako ni kumla tigo tu na kumwacha?! Wewe una huruma sana.
Yaani ni shida.. Cjui ni nani aliyewaroga...Kwa wanawake wa siku hizi kuwala tigo ndo wanajua unampenda, huko mbele wameshajiharibu na madildo hadi basi, we mwanamke anataka show ya masaa matatu bila mapumziko.
Namaanisha mwanamke na watoto anao you think about the kids, their future, the society, and everythingSijaelewa unavyosema huna uwezo wa kufanya lolote, the least you can do is walk away.
My future plans is to build an empire with this kids, am happily married to these beautiful twins hapa.
BTW, your offer sounds tempting but nah, I'll pass.
Ha haa yani bora asingesema ana I'd ya zamani lolsHahaha kama kawaida yako jirani
sio mshindano ya story haya bibiesiku nikielezea story yangu humu mtakufa wote.kuna watu wanyama jamani acheni tu .ila nimemuachia Mungu tu
Duuuh!! Poleni sana mnao/mliopitia mahusiano machungu.Mahusiano mengi kwa sasa ni mwiba aisee,yalinipata magumu katika mahusiano miaka kadhaa iliyopita,nikaja kumwaga nyongo humu,lakini kwa namna nlivyokuwa affected nilishindwa kumalizia kuisimulia,pole sana mkuu
Wewe... Na ushamlisha yale madude yenuHawaridhiki kwa kuwa wanaume wasioridhika wanahangaika usiku kucha kuwasumbua.
E.g. mimi nina jamaa anataka kumnyang'anya mke wake Rav 4 anipe mimi. Mimi na yeye nani hajaridhika?
Mkuu BAK nakuelewa sana, am not proud of what I did but at least it gave me peace at the time,I was a mess.Mambo ya kulipiza kisasi siyafagilii hata siku moja. Hayana maana kabisa. Unalipiza kisasi lakini baada ya muda unajiona ni mjinga tu unatamani kuomba msamaha lakini ndiyo umeshachelewa. Kuna siku unaweza kuwa na shida kubwa sana halafu unaambiwa nenda mahali fulani muone XYZ atakusaidia unafika pale unamkuta yule uliyemfanyia roho mbaya kuliko hata ya shetani ndiyo kajaa tele. KARMA is always a bitch will come back to bite you ASS. Ni bora tu kuondoka na mihasira hasira yako na kumwambia mtu ukweli halisi kwamba wewe na yeye basi badala ya kuanza kupanga strategies za kumkomoa.
Shosti unapenda ubuyu nenda instagramHa haa yani bora asingesema ana I'd ya zamani lols