Ha haa ngoja kwanza nijue I'd ya muhusikaShosti unapenda ubuyu nenda instagram

For sure.Uendelee hivyo hivyo, hii itakupa amani kubwa sana moyoni japo una donge kuumwa la kuumizwa.
Never say never mami,trust me HAYAJAKUKUTA...u will wonder what happened to misimamo yangu yote ile..maisha yana siri kubwa hasa hapa kwenye mapenziKwakweli siwezi kuruhusu mtu mmoja aamue maisha yangu, neverrrrrrr!!!
Naumia,najutia,najitafakari,nasali, nasamehe, nasonga mbele.
Life is too short to hold grudges and to revenge, naamini revenge is for the weak.
Mkuu amekosea kuchukua namba halafu akazifuta,ilitakiwa usiku huo huo akarudishie revenge ile ile ya Zanzibar kwa mara ya ingine,tena sio kuruka ukuta tu ila kubomoa ukuta kabisa.Polee mkuu
Hata hisia za mapenzi huna?
Ama ndio kuhit and run?
Never say never mami,trust me HAYAJAKUKUTA...u will wonder what happened to misimamo yangu yote ile..maisha yana siri kubwa hasa hapa kwenye mapenzi
Nani yule ngedere....!Mbona mwandiko kama wa mtu flan hivi wa mbele mwenye Jina la ndugu zetu katika evolution
Hata hilo sikatai kweli.Na 1% ya wanaume wanaostahili kuwa waume, teh teh teeeeeeeh!!!!
Wewe ndio huridhiki mrembo.Hawaridhiki kwa kuwa wanaume wasioridhika wanahangaika usiku kucha kuwasumbua.
E.g. mimi nina jamaa anataka kumnyang'anya mke wake Rav 4 anipe mimi. Mimi na yeye nani hajaridhika?
"You are not what has happened to you, you are what you chose to become". Dont you ever become who hurt you, no matter how hurt you're, dont allow the bitterness of this world change the person you are.Kwakweli siwezi kuruhusu mtu mmoja aamue maisha yangu, neverrrrrrr!!!
Naumia,najutia,najitafakari,nasali, nasamehe, nasonga mbele.
Life is too short to hold grudges and to revenge, naamini revenge is for the weak.
Never say never mami,trust me HAYAJAKUKUTA...u will wonder what happened to misimamo yangu yote ile..maisha yana siri kubwa hasa hapa kwenye mapenzi
Mama Temba ujue nakuona au vipi?usikubali hiyo rav 4 mianaume haina utu badae akunyaganye ampe mwingine.. sory hilo lijianaume lishamba
Perfect theory, I can teach all day,ngoma kupractise mamaa...Acha tuu somethings in life nasubiria nkamuulize Mungu anipe clear reasons na picha zima ambalo silioni likichezwa duniani, fainali mbinguni..."You are not what has happened to you, you are what you chose to become". Dont you ever become who hurt you, no matter how hurt you're, dont allow the bitterness of this world change the person you are.
Kibinadamu ni ngumu Sana, kuna muda watu wanakuumiza hadi unakufuru, but tunayaweza yote katika yote atutiaye nguvu, mkabidhi tu hayo maumivu yako
Mkuu yashapita hiki kisa kina muda kidogo@2017achana na mambo ya kulipiza kisasi, endelea na maisha yako
MamiiDuuh watu makauzuMkuu ina maana wewe ungetoa adhabu zaidi ya hiyo??
Daah mkuu,wewe una saikolojia kali sana tena saaaana,ukute kamwambia baby ile Rav 4 ya mke wako si unipe mimi?,nitakupa kitu roho yako inapenda au vipi?tena ile kila siku unaliliaga nakunyima,nakuahidi baby ile kitu ntakupa haki tena si utani.Atashindwaje kuiacha? usikute yeye ndo kapropose kwa huyo basha wake ampe yeye hiyi Rav 4.
Usawa wenyewe huu wa Sizonje,..!
Kwahili naomba tu niseme never!!!Never say never mami,trust me HAYAJAKUKUTA...u will wonder what happened to misimamo yangu yote ile..maisha yana siri kubwa hasa hapa kwenye mapenzi
Si yeye ndiye kidogo mashetani, akigeuka huku mashetani akisimama mashetani. Bila ya shaka atakuwa nao karibu mno ndiyo sababu ya kuwataja taja kila mara LOL!

hayana fomula haya mavitu