jimmyfoxxgongo
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 5,352
- 9,350
Khaaa ahahaha ahaah yawezekana ulikua humrizishi ukajua kutoa kijipasso chako na vijihela vya vocha ndio kila kitu mapenzi yasipokua na kurizishana ni 3-0 sasa kumla kabaang ukajua umemkomeesha kumbe yupo na maisha yanaendlea
Mapenzi ya Wanaume wa Dar khaa..![]()
Duuh kuliwa kabang kawaida kabisa sio adhabu sio aisee sawa na ile ya harusi ambayo tayari ishatangazwa na ikapotezewa unahisi alikuwa katika hali gan?
No matter what maisha lazima yaendelee ila lesson aliipata

