Alininyima Kwa Muda Mrefu, baada ya kunipa nimeamua ku...!

Alininyima Kwa Muda Mrefu, baada ya kunipa nimeamua ku...!

jamani men men men!
,.yaani ww unacheza na feelings za watu si ndio?
...hiv umeshafikiria atajickiaje?na aliyekwambia mke ni hicho kisimi nani?
,.yaani ctaki ku imagini maumivu yake
 
ndugu yangu kama nafsi yako haijaridhika baada ya kuiona hiyo hali bila shaka upendo ule na shauku uliyonayo vimepotea.kama unaona hilo kwako hutaenjoy na huyo dada,please usimpotezee muda wala kumdanganya mwache atapata wasiojali hayo.

ila kama unaona utazoea hilo basi jitahid umpende jinsi alivyo.hakupenda kufanya hivyo.ikubali hali hiyo utaona kawaida tu badae.
 
kwani alokeketwa inaziba...mbona ndo wazuri hao

wewe inakuaffect nini?
 
baada ya kumuona ucngemgegeda kwanza wew umemaliza mambo yako ndo unakuja kutuhadithia..swali ni kwamba baada ya hapo uliona tofauti gan? mi naona hamna tatizo kuendelea nae...

Nakushauri endelea nae kama ulivyosema kuwa unampenda. Kwa heshima utakayo mpa nakuhakikishia kuwa atalilinda penzi kwa uaminifu wa hali ya juu. Hii ni kutokana na heshima uliyompa licha ya kasoro aliyonayo. Ningekuwa ni mimi ningemuoa mapema kabisa na kumuonyesha kuwa unamjali. Please believe me uta enjoy sana kuwa nae take her into marriage consideration. Ongea nae vizuri onyesha kumjali hata muwe na hali ngumu vipi hawezi kukusaliti. Ukitaka wenye genye za hali ya juu watakusumbua.....
 
Tatizo lako ni kwamba umekuja kuomba ushauri wakati tayari nafsi, moyo na akili yako imeshafanya maamuzi. Kama vipi tusijichoshe bure, amua utavyotaka.
Kwahili sielewi kabisa... Tatizo nahisi HISIA zangu zitahama kabisa kutoka kwake. Naumia sana moyoni.
 
WAPENDWA hali zenu huko mlipo? Natumaini mko poa sana.
Mwenzenu yamenikuta yanayoniacha njia panda.
Ila kwa msaada wenu natumaini nitapata mawazo mapya na kuachana na fikra zangu.
Ngoja niwaelezea mkasa wenyewe.
Ni hivi nina MCHUMBA ambaye alikataa ''katu'' kunipa PENZI lake mpaka tuoane.
Ila kumbe alikuwa anajua ya MOYONI mwake.
Baada ya kumshawishi mpaka amekubali ni kuwa nilichokikuta ni MAJANGA. Nilimwonea huruma sana.
Ni hivi Mchumba mwenyewe AMEKEKETWA.
Naombeni Ushauri NIENDELEE naye Au NIMUACHE?

Sasa kosa lake ni lipi hapo? Kukeketwa? Alipenda kufanyiwa hivyo?

Sioni kama kweli unampenda, wanaopenda huoa hata walemavu wa viungo na Maalbino bila shida yoyote. Kinachonisikitisha ni jinsi dada huyo alivyokupenda na kukuamoni halafi wewe 'unamuacha' kwa kisingizio cha kipuuzi! Nakuuliza; ulimpendea nino? Ulimpenda kwa kuwa alionekana mkamilifu au? Angekuwa na ulemavu unaoonekana kwa nje, je ungempenda?
 
Kwahili sielewi kabisa... Tatizo nahisi HISIA zangu zitahama kabisa kutoka kwake. Naumia sana moyoni.
Muache tu ili uwe na amani,kwanza humstahili.
Mungu atakujaalia asiyekeketwa ila atayokufanyia utamkumbuka huyu siku zote za maisha yako.
 
kwani ulipo du hukujisikia kama hukujisikia kimbia kama ulimaza sasa unasema sema nini cha msingi kama vitu vilienda sawa
 
jamani wadada msiyaonjeshe haya majamaa yakishaonja yanakuja na kasoro kibao kama hili jamaa halafu yanawatosa.Sijui wanaume wanataka nini kwa wanawake unakuta mtu anajisifu nimepata msichana mzuri kukeketwa tu kunakotoa macho wanaume wa jinsi hii ni majanga.
 
sasa CT scan Mchina, we achana na huyo dada ila ni PM mimi contacts na details zote . tena huyo mdada ni mnyaturu daaaaah aiseee!!!! fanya hivyo meen, tafadhali sana.

ha ha ha haaa teheee!
 
Back
Top Bottom