Alininyima Kwa Muda Mrefu, baada ya kunipa nimeamua ku...!

Alininyima Kwa Muda Mrefu, baada ya kunipa nimeamua ku...!

Mbona sielewi MMU members wakati mwingine!
Hapa ndo kila mtu anasema hauziwi mtu mbuzi kwenye gunia, leo mtu anasema haridhiki na mke alokeketwa wooooote mnamkandia, SMFH!!!

Watu wanatamani walale na wapenzi wao ili kugundua mambo ya namna hiyo, mambo ambayo hawaridhiki nayo... wengine hawataki vibamia, wengine madimbwi, wengine mnato.... si ndo hayo hayo mnalalamika kila kukicha , then leo kila mtu anadandia... it's all about choice guyz, kama hupendi bora kumuacha msije kuishi maisha ya kujuta baadae.

Mkuu, kama huridhiki na mbuzi, ili mradi umeoneshwa kabla ya kumnunua, mwambie ukweli uachane nae!
 
Kwani wewe unapata raha au hupati?
Fafanua kwanza kabla hatujakushauri.
 
Huuuu ndo upumbavu itakuaje ukubali kufunuliwa bila ya ndoa nyambavu ndo adhabu ya kila mzinifu kudhalilishwa
 
Me nakushauri usiwe na mtu sababu unamuonea huruma, kuwa nae kwa sababu unampenda kwa dhati kutoka moyoni mwako

Maisha ya ndoa ni safari ndefu na ngumu, ukiwa nae kwa sababu tofauti na mapenzi ya dhati, kuna siku mtaachana tuu...Take it from me
 
CC: Kivule

Uongo, umbea, kudanganya mda wa kufika job, rushwa, kula zaka na sadaka hua sio dhambi?

Uzinzi ni sawa na hizo tu
 
Kama linakusumbua kichwa achana naye maana ukimuoa anaweza kuteseka baadae once there is no affection toka kwako.
Ndoa ni safari ndefu isiyohitaji kuoana kwa kuhurumiana. Pole sana ila ushauri wangu ni umpotezee kijanja ila asijue hiyo ndo sababu maana atapata hofu ya mahusiano.
 
asiyekuwa na hiyo kitu kamwe sitaki kukutana naye.
 
mungu naomba unisamehe kwa kumtukana huyu mtu


we huna akili hata kidogo,huu ni udhalilishaji wa hari ya juu kwahiyo yeye alipenda kukeketwa? Kama unampenda endelea naye tu

sent from my blackberry 9780 using jamiiforums





big like.... Huyu ni wakupiga na magongo ya vichwa si kumtukana tuuu
 
WAPENDWA hali zenu huko mlipo? Natumaini mko poa sana.
Mwenzenu yamenikuta yanayoniacha njia panda.
Ila kwa msaada wenu natumaini nitapata mawazo mapya na kuachana na fikra zangu.
Ngoja niwaelezea mkasa wenyewe.
Ni hivi nina MCHUMBA ambaye alikataa ''katu'' kunipa PENZI lake mpaka tuoane.
Ila kumbe alikuwa anajua ya MOYONI mwake.
Baada ya kumshawishi mpaka amekubali ni kuwa nilichokikuta ni MAJANGA. Nilimwonea huruma sana.
Ni hivi Mchumba mwenyewe AMEKEKETWA.
Naombeni Ushauri NIENDELEE naye Au NIMUACHE?

im very sorry to say this but no way.....your reasoning capacity is reasonably low....,think about ur mother n ur sisters if you can tolerate such kind of insults. mwanaume kamili hadhalilishi wanawake wewe jibaba,umezaliwa na unadada pia....
 
usimuoe kwasababu yakumuonea huruma muoe kwamapenzi hutaona kasoro yake mpe upendo itaficha madhaifu yake yote
 
Back
Top Bottom