Alininyima Kwa Muda Mrefu, baada ya kunipa nimeamua ku...!

Alininyima Kwa Muda Mrefu, baada ya kunipa nimeamua ku...!

Kwahili sielewi kabisa... Tatizo nahisi HISIA zangu zitahama kabisa kutoka kwake. Naumia sana moyoni.

Basi kama ni hivyo naona tayari umeshamwacha moyono bado tu hadharani, fanya utaratibu wa kumweleza kwa upole uamuzi wako huo

sio kosa lake
 
Basi kama ni hivyo naona tayari umeshamwacha moyono bado tu hadharani, fanya utaratibu wa kumweleza kwa upole uamuzi wako huo

sio kosa lake

Sijui atamwambia sababu yakumuacha ni ipi?????inaumiza sana lazima atajisikia unyonge sanaaaaa!!!!!!!
 
haa. wewe nawe wa ajabu!! kwani hana joto??utamu wa sex ni ujoto ule.... hayo mashavu sijui "kisimu" ni addition tu kama kachumbari kwenye pilau !!
 
Basi kama ni hivyo naona tayari umeshamwacha moyono bado tu hadharani, fanya utaratibu wa kumweleza kwa upole uamuzi wako huo

sio kosa lake

Ngoja nitajaribu baada ya Ushauri wenu kuniingia..
 
sasa CT scan Mchina, we achana na huyo dada ila ni PM mimi contacts na details zote . tena huyo mdada ni mnyaturu daaaaah aiseee!!!! fanya hivyo meen, tafadhali sana.
 
WAPENDWA hali zenu huko mlipo? Natumaini mko poa sana.
Mwenzenu yamenikuta yanayoniacha njia panda.
Ila kwa msaada wenu natumaini nitapata mawazo mapya na kuachana na fikra zangu.
Ngoja niwaelezea mkasa wenyewe.
Ni hivi nina MCHUMBA ambaye alikataa ''katu'' kunipa PENZI lake mpaka tuoane.
Ila kumbe alikuwa anajua ya MOYONI mwake.
Baada ya kumshawishi mpaka amekubali ni kuwa nilichokikuta ni MAJANGA. Nilimwonea huruma sana.
Ni hivi Mchumba mwenyewe AMEKEKETWA.
Naombeni Ushauri NIENDELEE naye Au NIMUACHE?
Kama nia yako ni kisimi, mchongee artificial.
 
dah!
maskini binti wa watu!
alikuamini akaamini utamsitiri ,
alikuamini akiamini wewe ni wake
alikuamini akiamini utajali utu wake zaid ya mwili wake
alikuamini akiamini utamwelwa na kumkubali alivyo
NA HAPA SASA UNAMUINGIZA KWENYE TRAUMA nyingine kabisa!
dah!
MUACHE HUYO BINTI!MUACHE TU!
 
Mungu naomba unisamehe kwa kumtukana huyu mtu


We huna akili hata kidogo,huu ni udhalilishaji wa hari ya juu kwahiyo yeye alipenda kukeketwa? Kama unampenda endelea naye tu

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums

Tusi liko wapi?
 
Back
Top Bottom