kuna muda huwa sielewiBasi kama ni hivyo naona tayari umeshamwacha moyono bado tu hadharani, fanya utaratibu wa kumweleza kwa upole uamuzi wako huo
sio kosa lake
dah!
maskini binti wa watu!
alikuamini akaamini utamsitiri ,
alikuamini akiamini wewe ni wake
alikuamini akiamini utajali utu wake zaid ya mwili wake
alikuamini akiamini utamwelwa na kumkubali alivyo
NA HAPA SASA UNAMUINGIZA KWENYE TRAUMA nyingine kabisa!
dah!
MUACHE HUYO BINTI!MUACHE TU!
basi kanunue tu kale ukae nako ndani si unakapenda?sasa 'kale' huwa nakahusudu mwenzenu...
dah!
maskini binti wa watu!
alikuamini akaamini utamsitiri ,
alikuamini akiamini wewe ni wake
alikuamini akiamini utajali utu wake zaid ya mwili wake
alikuamini akiamini utamwelwa na kumkubali alivyo
NA HAPA SASA UNAMUINGIZA KWENYE TRAUMA nyingine kabisa!
dah!
MUACHE HUYO BINTI!MUACHE TU!
kuna muda huwa sielewi
sijui ni kukua sijui ni kuwa mjinga sijui ni kujitambua sana,pengine ni ufala wangu!
kuna kazi sana ,tena sana kwenye hii habari ya kupenda na kupendwa!
pengine inanipasa nikasome upya kama sio niingie upya field ili nijue what exactly does it take to love a person!
kwani hyo hali inakuathiri nn ww?
..mbona wanawake tuna sehem nyingi sana za kuchezewa/kupandishwa.... ati! Unless ucwe mtundu kwa bed!!
..halafu naona umecrem, sio kilamwanamke akishikwa hapo ndo namna gan vp,wengine wala!
..usimwache!
e wa kuoa hapimwi kwa kigezo hicho ndugu oa,naamin utafurahia maisha tu
Kwanini umuache?kwasababu yupo tofauti na matarajio yako?Wakati mwengine tunatakiwa tujifunze sio kila kitu kitakwenda kama tulivyopangilia,kwahio tunatakiwa kutafuta suluhisho kupambana na hali halisi na kumuacha sio suluhisho ambalo litakuwa fair kwa huyo bi dada kwasababu amefunguka na kukuamini,Umeshajua kipi kilichokuwa kinamzuia kuwa muwazi kwako,then you want to TURN YOUR BACK ON HER, LIKE COME ON DUDE!!!Mfano mdogo wewe uwe na kasoro kwenye viungo vyako vya uzazi kisha ye akuache utajisikiaje?WAPENDWA hali zenu huko mlipo? Natumaini mko poa sana.
Mwenzenu yamenikuta yanayoniacha njia panda.
Ila kwa msaada wenu natumaini nitapata mawazo mapya na kuachana na fikra zangu.
Ngoja niwaelezea mkasa wenyewe.
Ni hivi nina MCHUMBA ambaye alikataa ''katu'' kunipa PENZI lake mpaka tuoane.
Ila kumbe alikuwa anajua ya MOYONI mwake.
Baada ya kumshawishi mpaka amekubali ni kuwa nilichokikuta ni MAJANGA. Nilimwonea huruma sana.
Ni hivi Mchumba mwenyewe AMEKEKETWA.
Naombeni Ushauri NIENDELEE naye Au NIMUACHE?
lol... "what does it take to love a person! Haya just go to Dat' field.
kuna muda huwa sielewi
sijui ni kukua sijui ni kuwa mjinga sijui ni kujitambua sana,pengine ni ufala wangu!
kuna kazi sana ,tena sana kwenye hii habari ya kupenda na kupendwa!
pengine inanipasa nikasome upya kama sio niingie upya field ili nijue what exactly does it take to love a person!
kawaida watu wangu wa nguvu wa masai/warusha wamekeketwa na watu wanafaidi tu,kwani mkuu steam ziko hapo tu raha kila mahali,hata kwenye kucha.mradi jua wapi anaburudika zaidi.WAPENDWA hali zenu huko mlipo? Natumaini mko poa sana.
Mwenzenu yamenikuta yanayoniacha njia panda.
Ila kwa msaada wenu natumaini nitapata mawazo mapya na kuachana na fikra zangu.
Ngoja niwaelezea mkasa wenyewe.
Ni hivi nina MCHUMBA ambaye alikataa ''katu'' kunipa PENZI lake mpaka tuoane.
Ila kumbe alikuwa anajua ya MOYONI mwake.
Baada ya kumshawishi mpaka amekubali ni kuwa nilichokikuta ni MAJANGA. Nilimwonea huruma sana.
Ni hivi Mchumba mwenyewe AMEKEKETWA.
Naombeni Ushauri NIENDELEE naye Au NIMUACHE?
Endelea tu mkuu.MTU CHAKE huwa hawana shida mie wife amefanyiwa hyo mambo but 2ko vizuri tu na katoto ketu kamoja! Alijifungua kikawaida tena bila shida nilimpeleka hospitali saa kumi jion na by saa kumi na mbili akawa amejifungua!! Kuhusu n.y.e.g** anapata kama kawa na 2naishi bila shida.SO USIMWACHE
Mimi pia kama wewe mwalimu!