Alininyima Kwa Muda Mrefu, baada ya kunipa nimeamua ku...!

Alininyima Kwa Muda Mrefu, baada ya kunipa nimeamua ku...!

CT SCan Mchina

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2013
Posts
1,311
Reaction score
289
WAPENDWA hali zenu huko mlipo? Natumaini mko poa sana.
Mwenzenu yamenikuta yanayoniacha njia panda.
Ila kwa msaada wenu natumaini nitapata mawazo mapya na kuachana na fikra zangu.
Ngoja niwaelezea mkasa wenyewe.
Ni hivi nina MCHUMBA ambaye alikataa ''katu'' kunipa PENZI lake mpaka tuoane.
Ila kumbe alikuwa anajua ya MOYONI mwake.
Baada ya kumshawishi mpaka amekubali ni kuwa nilichokikuta ni MAJANGA. Nilimwonea huruma sana.
Ni hivi Mchumba mwenyewe AMEKEKETWA.
Naombeni Ushauri NIENDELEE naye Au NIMUACHE?
 
Endelea tu mkuu.MTU CHAKE huwa hawana shida mie wife amefanyiwa hyo mambo but 2ko vizuri tu na katoto ketu kamoja! Alijifungua kikawaida tena bila shida nilimpeleka hospitali saa kumi jion na by saa kumi na mbili akawa amejifungua!! Kuhusu n.y.e.g** anapata kama kawa na 2naishi bila shida.SO USIMWACHE
 
hebu funguka zaidi kwenye KUKEKETWA hapo.
 
^^
Jifunze tu kuchezea sehemu za mwili wake zinazomsisimua iyo clitoris japo imeondolewa itafidiwa na ujuzi na utundu wako.
Amekuamini Ukimpokea Atakulinda.
^^
 
WAPENDWA hali zenu huko mlipo? Natumaini mko poa sana.
Mwenzenu yamenikuta yanayoniacha njia panda.
Ila kwa msaada wenu natumaini nitapata mawazo mapya na kuachana na fikra zangu.
Ngoja niwaelezea mkasa wenyewe.
Ni hivi nina MCHUMBA ambaye alikataa ''katu'' kunipa PENZI lake mpaka tuoane.
Ila kumbe alikuwa anajua ya MOYONI mwake.
Baada ya kumshawishi mpaka amekubali ni kuwa nilichokikuta ni MAJANGA. Nilimwonea huruma sana.
Ni hivi Mchumba mwenyewe AMEKEKETWA.
Naombeni Ushauri NIENDELEE naye Au NIMUACHE?

Kwani alivyokeketwa shimo limepotea au ??? kwani wewe hujakeketwa
We ni majanga kweli.
 
WAPENDWA hali zenu huko mlipo? Natumaini mko poa sana.
Mwenzenu yamenikuta yanayoniacha njia panda.
Ila kwa msaada wenu natumaini nitapata mawazo mapya na kuachana na fikra zangu.
Ngoja niwaelezea mkasa wenyewe.
Ni hivi nina MCHUMBA ambaye alikataa ''katu'' kunipa PENZI lake mpaka tuoane.
Ila kumbe alikuwa anajua ya MOYONI mwake.
Baada ya kumshawishi mpaka amekubali ni kuwa nilichokikuta ni MAJANGA. Nilimwonea huruma sana.
Ni hivi Mchumba mwenyewe AMEKEKETWA.
Naombeni Ushauri NIENDELEE naye Au NIMUACHE?

una mpanda kweli au unamtamani sana?
 
Mungu naomba unisamehe kwa kumtukana huyu mtu


We huna akili hata kidogo,huu ni udhalilishaji wa hari ya juu kwahiyo yeye alipenda kukeketwa? Kama unampenda endelea naye tu

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums

tatizo lako fikra tu_ ruhusu ubongo wako ufanye kazi. Kadhalilishwa, kwani katajwa jina? Behave ur'slf.
 
Endelea na mchumba wako hiyo kitu wala haina shida, ni sawa sawa tu na wengine wenye ki_ _mi, ila tu hisia zake za kufanya mapenzi zinaweza kuwa mbali kidogo, lakini hilo si tatizo, ni juhudi zako tu kumpandisha hisia kama mwanaume anayejua mapenzi anavyofanya. Kwa upande mwingine labda kama una aleji ya kukichezea tu na ndio mapenzi unayoyajua.
Btw, kwani wewe hujakeketwa?
 
WE KWELI CT SCAN YAKO YA MCHINA

Kama unampenda, endelea naye...kama humpendi mwache, kukeketwa sio hiari yake na nina uhakika angepewa choice asingekubali

Are you perfect kila idara?

Grow up

Kwahili sielewi kabisa... Tatizo nahisi HISIA zangu zitahama kabisa kutoka kwake. Naumia sana moyoni.
 
Endelea na mchumba wako hiyo kitu wala haina shida, ni sawa sawa tu na wengine wenye ki_ _mi, ila tu hisia zake za kufanya mapenzi zinaweza kuwa mbali kidogo, lakini hilo si tatizo, ni juhudi zako tu kumpandisha hisia kama mwanaume anayejua mapenzi anavyofanya. Kwa upande mwingine labda kama una aleji ya kukichezea tu na ndio mapenzi unayoyajua.
Btw, kwani wewe hujakeketwa?

at least umenirudisha kwenye njia japo KidooGO angalau. Ahsante kwa ushauri wako mzuri..
 
baada ya kumuona ucngemgegeda kwanza wew umemaliza mambo yako ndo unakuja kutuhadithia..swali ni kwamba baada ya hapo uliona tofauti gan? mi naona hamna tatizo kuendelea nae...
 
WAPENDWA hali zenu huko mlipo? Natumaini mko poa sana.
Mwenzenu yamenikuta yanayoniacha njia panda.
Ila kwa msaada wenu natumaini nitapata mawazo mapya na kuachana na fikra zangu.
Ngoja niwaelezea mkasa wenyewe.
Ni hivi nina MCHUMBA ambaye alikataa ''katu'' kunipa PENZI lake mpaka tuoane.
Ila kumbe alikuwa anajua ya MOYONI mwake.
Baada ya kumshawishi mpaka amekubali ni kuwa nilichokikuta ni MAJANGA. Nilimwonea huruma sana.
Ni hivi Mchumba mwenyewe AMEKEKETWA.
Naombeni Ushauri NIENDELEE naye Au NIMUACHE?

Mbona baba yako alimvumilia mama yako na hajamtangazia hadharani?
 
Back
Top Bottom