Wakuu salaam,kuna jambo linanitatiza nimeona niliweke hadharani ili mnishauri kijana wenu. Mimi ni mwanaume wa miaka 29 niliwahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na binti mmoja ambaye alinisaliti na kuendelea na huyo jamaa.
Niliumia sana lakini Mungu mwema nikapata mwingine na tunaendelea vyema hope mwakani nitaoa. Muda mrefu sikumtafuta huyu msaliti sasa siku hizi amezidi kunitafuta mara i remember u so much.
Mara you are one in a million nikamwuliza kwani si una mtu wako ya nini kunisifia anadai ananimiss sana, juzi nilimwambia sasa hivi na mimi nina mpenzi mpya.
Baada ya hapo ndio kazidi kunipigia ingawa mimi sipendi hata kusikia sauti yake naombeni mnishauri niache kupokea simu zake au nimwambie asinipigie maana ananikumbusha maumivu yaliyopona na sifikirii kabisa kuwa nae hata ikitokea huyu kanizingua.
Niliumia sana lakini Mungu mwema nikapata mwingine na tunaendelea vyema hope mwakani nitaoa. Muda mrefu sikumtafuta huyu msaliti sasa siku hizi amezidi kunitafuta mara i remember u so much.
Mara you are one in a million nikamwuliza kwani si una mtu wako ya nini kunisifia anadai ananimiss sana, juzi nilimwambia sasa hivi na mimi nina mpenzi mpya.
Baada ya hapo ndio kazidi kunipigia ingawa mimi sipendi hata kusikia sauti yake naombeni mnishauri niache kupokea simu zake au nimwambie asinipigie maana ananikumbusha maumivu yaliyopona na sifikirii kabisa kuwa nae hata ikitokea huyu kanizingua.