Your safety
Mi nikijua nakuwa ignored in the context of a relationship basi nami nauchuna. Huwaga sina shida kabisa na kuuchuna. It's like I was born that way.
una kisasi naona
unataka aendelee kukusumbua ili kimoyomoyo useme 'kiko wapi'
but what if akiacha kukusumbua na kutafuta mwingine? roho haitakuuma?
kama haitakuuma basi mchunie tu
Na stalker dawa yake nini?
being real and happy with ya life,full matukio social medias roho imuume ur happy hata bila yeye..
Unaweza kurudia tena kujieleza? Manake kama nimetoka kapa hivi....
Unamaanisha kwamba uishi maisha yenye furaha, ujichanganye sana kwenye social media na utafanya jitihada ajue unachofanya huko ili tu roho imuume (yaani huko kwenye social media, kwa mfano, uwe una-flirt sana na watu n.k.)
Yote hayo ni katika jitihada za kumwonyesha kuwa bila yeye bado maisha utayafurahia tu?
Bro ni kweli nilimpenda ila kwa sasa sifikirii kumpa nafasi maana najua anaendelea na jamaa na hata akiwa na mwingine kwangu poa tu sema sitaki mawasiliano nae tena sasa ndio nawaza nisipokee simu yake au nimwambie asinipigie kapisa
msamehe bwana mi naona huyo ndo wako wa sasa ilikuwa kupooza hasira hata ukimuoa hautakuwa na raha..ametubu msamehe amegundua kosa lake..na mapenzi ya hivi hudumu mana kila mtu anakuwa makini yasijerudia...
wa sasa nae akusamehe tu bwana akuache urudi kwa kipenda roho chako!!