harakati za siri
JF-Expert Member
- Aug 23, 2020
- 965
- 2,615
Huwa unamuota ukilala?Namtafuta hat kwenye mitandao simuoni
Huwa unamuota ukilala?Namtafuta hat kwenye mitandao simuoni
Namtafuta hat kwenye mitandao simuoni
Ntawapataje?Ulizia classmate wake wa intake yao. Huko chuo
Mhh sawaWatu wa aina hiyo wanajua ku cover tracks zao sana kama hawataki kukutana tena na mtu fulani, sio rahisi wewe umpate kama yeye hakutafuti.
Zamani kidogo.ila kumbukumbu ya matukio hayafutiki.Huwa unamuota ukilala?
Ok, Mungu mwenyewe kakukingaZamani kidogo.ila kumbukumbu ya matukio hayafutiki.
Nenda chuo kaulizieNtawapataje?
Nimempa mtu baadhi vyenye maanaVinavyofanya asitoke akilin mwako ni hvyo vitu vyake mlivyokuwa mnashare. Na hatoka kichwan mwako mpaka pale utakapo vitupa au yeye mwenyewe kuja kujidhihilisha kwako kwa mara nyingne tena ( kama hakuwa mtu lakin)
Vipi ndotoni huwa hakutokei?
Ni jini, leo utamuota tena trust me.Zamani kidogo.ila kumbukumbu ya matukio hayafutiki.
Hakuna alumni mitandaoni?Nenda chuo kaulizie
Hahahaa mkuu hata nkimuota siogopi.Ni jini, leo utamuota tena trust me.
Hatukukutana sababu ya misimamo yangu.nidhamu ya shule
Nae pia aliniheshimu maamuzi yangu
Naamini alikua wa kawaida lakini pale kwao ndo pananipa maswali yasiyojibika
Hata kama aliomba mtu azugie wenye nymba wote hawakuwepo na kujua?hata vijana wa rika lake?
Alikua ananipa mpaka story za majirani na visa vyao na siku nlipoenda kwa Mara ya kwanza nlikuta wadada wamekaa jirani wanasukana.ina maana si kuna majirani walikua wanamwona hata alienda chooni wanamwona
Basi kama hivyo ikifika usiku wa saa sita kaa kitako kitandani mwite kwa jina lake atakuja, kesho uje utupe feedbackHahahaa mkuu hata nkimuota siogopi.
Au umekosea nyumba mzee, ukute umekosea nyumba umenda nyumba ya watu wengineHistoria inaanza hivi...
Kipindi nkiwa bado shule secondari miaka kumi sasa imepita,nilinunuliwa simu na bro wangu. Siku moja ghafla mida ya mchana iliingia SMS kutoka kwa namba ngeni ikisomeka "ukitoka hostel nijulishe uniazime kitabu chako" sikumbuki sawa sawa but nimeotea tu kwa kumbukumbu.
Nikaanza kuchat nae kitabu gani na wewe nani
Ndipo mbele akagundua amekosea number na kuomba radhi kwamba alikuwa anamtumia mdada mmoja classmate wake namba zinafanana
baadae tukaanza kufahamiana kwa kuendelea kuchat.
Alijitambulisha anaitwa Jimmson Henry, anasoma chuo kikuu mlimani (UDSM). Yuko mwaka wa pili bachelor degree ya information technology (IT). Anaishi hostel za mabibo lakini kwao tabata.
His paternity origin is Ngazdja from Comoros islands,and Lindi mtwara kwa upande wa mama. He was so talkative,cheerful,funny na utani mwingi!
Tuliendelea na mazoea ya kuwasiliana,alinieleza mengi kuhusu maisha yake.nami yangu pia.
Mwisho sababu ya ujana akaanza kuniomba nafasi,nami nikampaa bila hata kumuona.
Mazoea yaliendelea ikafika muda nipo likizo akaomba tufahamiane kwetu tunapoishi,alianza yeye nikamleta kwetu hadI bi mkubwa alimuona.
Ikafika zamu yangu nikaunga "tuisheni" kwao maeneo ya tabata liwiti.
Nilivyofika kwao aliweza kunitambulisha kwa mdogo wake wa kiume hawapishani sana kiumri anaitwa James. Tuliongea mengi na kuna mzee jirani pia alikuwa ni seremala naye akamuuliza huyu nani akanitambulisha rafiki yake.
Baada ya kuondoka tukaanza kuwasiliana ananiambia we ni mzuri sana hadi huyu mzee hapa jirani ananitania yule mrembo umemtoa wapi,kakangu piaa!
Few months later akamaliza mwaka wa pili na kuwa likizo na mimi nkiwa natarajia kuingia mitihani yangu ya final.
Akanijuza kapata mwaliko america kutoka kwa rafiki zake wawili na taratibu zote za visa,tickect kafanya kwa gharama za wenyeji wake akafanikiwa kwenda. Alikaa kwa miezi mwili tunawasiliana kwa njia ya email nkiwa na mdogo wake.
Akirudi na tukaanza kuwasiliana as usually.
Kufupisha kuna kipindi alikua anapitia majukumu magumu ya kifamilia kama mtoto wa kwanza kwao,akawa anakosa hata muda nami. Nami nikawa frustrated na mambo yangu tukakorofishana na kupotezeana.
Baada ya mwaka mmoja nikiwa chuo sikuweza kuhimili alikuwa amenikaa sana kichwani hadI napata msongo wa mawazo.
Nikajiambia kwao napakumbuka nijaribu kwenda.
Nilipanga weekend asubuhi nikaifikia nyumba nikiwa nimekaa mbali kidogo nione kama atatokea mtu.
Masaa yalipita nikahisi hawapo japo mlango upo wazi. Akatokea mdada mrefu mweupe nikajua atakuwa member mojawapo wa familia.
Nilisogea na kumsalimia akanijibu nikaanza kumuulizia jamaa wakaanza kushangaa hawamjui. Nilitaka details zote hadI wadogo zake na Dada zake hawamjui
kuulizia ile nyumba wale wadada wanadai wao wameishi pale tangu udogoni na mtaa mzima wanawajua. Haijawahi kuishi familia nyingine hata kupangisha
nikawauliza kama kuliwahi kuwa na mzee seremala upande wa nyumba anaranda mbao wanajibu hakujawahi kuwa na fundi seremala hapo.
Na nikiangalia like eneo naona tupu hakuna dalili yoyote hata mzee kuacha mabenchi ya mbao.
Kuna maduka around nikawa nawauliza wanadai hawajahi kuishi na mtu wa aina hiyo, hawamjui
Lakini nyumba ni ile ile hadI ndani kuko vile vile. Mpaka sasa sipati jibu.
Maana alishare nami vitu vingi mno mpaka harusi ya mdogo wake ilifanyika kwenye nyumba hiyohiyo.
Safari zake zote.mamake ahata akiwa anaumwa na2julishwa nimpe pole mkwe. Plans zake zote.
Mfano alivorudi kutoka America alipewa zawadi ya gari akaghairi sababu hana uwezo wa kuhudumia, akaomba badala yake atumiwe vifaa vya office tufungue stationary kubwa kijitonyama.
Alikua so bright kiasi anapata nafasi za kazi kwenye biashara na makampuni za maprofessor wake. Kila kitu ndani ya ofisi anashare nami.
Mpaka sasa ananiwinda kichwani kama mzimu na hapo kwao ndo hivi kama nilivyopakuta sijapata majibu hadI sasa.
Alikuwa nani?
Amina.na yataendelea kunikinga kama NI kweli si mtu.Hongera dada Abigail Mungu wako alikukinga, nafikiri ulikuwa ukitembea na neema kubwa sana.
Mungu anakupenda sana hao viumbe hawajahi acha mtu salama.
Vipi lakini do you have feelings for men/ man na je mahusiano yako yakoje yamenyooka au kkna nyingi(difficulties)
Umesema ni mwaka umepita sasaHistoria inaanza hivi...
Kipindi nkiwa bado shule secondari miaka kumi sasa imepita,nilinunuliwa simu na bro wangu. Siku moja ghafla mida ya mchana iliingia SMS kutoka kwa namba ngeni ikisomeka "ukitoka hostel nijulishe uniazime kitabu chako" sikumbuki sawa sawa but nimeotea tu kwa kumbukumbu.
Nikaanza kuchat nae kitabu gani na wewe nani
Ndipo mbele akagundua amekosea number na kuomba radhi kwamba alikuwa anamtumia mdada mmoja classmate wake namba zinafanana
baadae tukaanza kufahamiana kwa kuendelea kuchat.
Alijitambulisha anaitwa Jimmson Henry, anasoma chuo kikuu mlimani (UDSM). Yuko mwaka wa pili bachelor degree ya information technology (IT). Anaishi hostel za mabibo lakini kwao tabata.
His paternity origin is Ngazdja from Comoros islands,and Lindi mtwara kwa upande wa mama. He was so talkative,cheerful,funny na utani mwingi!
Tuliendelea na mazoea ya kuwasiliana,alinieleza mengi kuhusu maisha yake.nami yangu pia.
Mwisho sababu ya ujana akaanza kuniomba nafasi,nami nikampaa bila hata kumuona.
Mazoea yaliendelea ikafika muda nipo likizo akaomba tufahamiane kwetu tunapoishi,alianza yeye nikamleta kwetu hadI bi mkubwa alimuona.
Ikafika zamu yangu nikaunga "tuisheni" kwao maeneo ya tabata liwiti.
Nilivyofika kwao aliweza kunitambulisha kwa mdogo wake wa kiume hawapishani sana kiumri anaitwa James. Tuliongea mengi na kuna mzee jirani pia alikuwa ni seremala naye akamuuliza huyu nani akanitambulisha rafiki yake.
Baada ya kuondoka tukaanza kuwasiliana ananiambia we ni mzuri sana hadi huyu mzee hapa jirani ananitania yule mrembo umemtoa wapi,kakangu piaa!
Few months later akamaliza mwaka wa pili na kuwa likizo na mimi nkiwa natarajia kuingia mitihani yangu ya final.
Akanijuza kapata mwaliko america kutoka kwa rafiki zake wawili na taratibu zote za visa,tickect kafanya kwa gharama za wenyeji wake akafanikiwa kwenda. Alikaa kwa miezi mwili tunawasiliana kwa njia ya email nkiwa na mdogo wake.
Akirudi na tukaanza kuwasiliana as usually.
Kufupisha kuna kipindi alikua anapitia majukumu magumu ya kifamilia kama mtoto wa kwanza kwao,akawa anakosa hata muda nami. Nami nikawa frustrated na mambo yangu tukakorofishana na kupotezeana.
Baada ya mwaka mmoja nikiwa chuo sikuweza kuhimili alikuwa amenikaa sana kichwani hadI napata msongo wa mawazo.
Nikajiambia kwao napakumbuka nijaribu kwenda.
Nilipanga weekend asubuhi nikaifikia nyumba nikiwa nimekaa mbali kidogo nione kama atatokea mtu.
Masaa yalipita nikahisi hawapo japo mlango upo wazi. Akatokea mdada mrefu mweupe nikajua atakuwa member mojawapo wa familia.
Nilisogea na kumsalimia akanijibu nikaanza kumuulizia jamaa wakaanza kushangaa hawamjui. Nilitaka details zote hadI wadogo zake na Dada zake hawamjui
kuulizia ile nyumba wale wadada wanadai wao wameishi pale tangu udogoni na mtaa mzima wanawajua. Haijawahi kuishi familia nyingine hata kupangisha
nikawauliza kama kuliwahi kuwa na mzee seremala upande wa nyumba anaranda mbao wanajibu hakujawahi kuwa na fundi seremala hapo.
Na nikiangalia like eneo naona tupu hakuna dalili yoyote hata mzee kuacha mabenchi ya mbao.
Kuna maduka around nikawa nawauliza wanadai hawajahi kuishi na mtu wa aina hiyo, hawamjui
Lakini nyumba ni ile ile hadI ndani kuko vile vile. Mpaka sasa sipati jibu.
Maana alishare nami vitu vingi mno mpaka harusi ya mdogo wake ilifanyika kwenye nyumba hiyohiyo.
Safari zake zote.mamake ahata akiwa anaumwa na2julishwa nimpe pole mkwe. Plans zake zote.
Mfano alivorudi kutoka America alipewa zawadi ya gari akaghairi sababu hana uwezo wa kuhudumia, akaomba badala yake atumiwe vifaa vya office tufungue stationary kubwa kijitonyama.
Alikua so bright kiasi anapata nafasi za kazi kwenye biashara na makampuni za maprofessor wake. Kila kitu ndani ya ofisi anashare nami.
Mpaka sasa ananiwinda kichwani kama mzimu na hapo kwao ndo hivi kama nilivyopakuta sijapata majibu hadI sasa.
Alikuwa nani?
Inawezekana umekosea nyumbaHistoria inaanza hivi...
Kipindi nkiwa bado shule secondari miaka kumi sasa imepita,nilinunuliwa simu na bro wangu. Siku moja ghafla mida ya mchana iliingia SMS kutoka kwa namba ngeni ikisomeka "ukitoka hostel nijulishe uniazime kitabu chako" sikumbuki sawa sawa but nimeotea tu kwa kumbukumbu.
Nikaanza kuchat nae kitabu gani na wewe nani
Ndipo mbele akagundua amekosea number na kuomba radhi kwamba alikuwa anamtumia mdada mmoja classmate wake namba zinafanana
baadae tukaanza kufahamiana kwa kuendelea kuchat.
Alijitambulisha anaitwa Jimmson Henry, anasoma chuo kikuu mlimani (UDSM). Yuko mwaka wa pili bachelor degree ya information technology (IT). Anaishi hostel za mabibo lakini kwao tabata.
His paternity origin is Ngazdja from Comoros islands,and Lindi mtwara kwa upande wa mama. He was so talkative,cheerful,funny na utani mwingi!
Tuliendelea na mazoea ya kuwasiliana,alinieleza mengi kuhusu maisha yake.nami yangu pia.
Mwisho sababu ya ujana akaanza kuniomba nafasi,nami nikampaa bila hata kumuona.
Mazoea yaliendelea ikafika muda nipo likizo akaomba tufahamiane kwetu tunapoishi,alianza yeye nikamleta kwetu hadI bi mkubwa alimuona.
Ikafika zamu yangu nikaunga "tuisheni" kwao maeneo ya tabata liwiti.
Nilivyofika kwao aliweza kunitambulisha kwa mdogo wake wa kiume hawapishani sana kiumri anaitwa James. Tuliongea mengi na kuna mzee jirani pia alikuwa ni seremala naye akamuuliza huyu nani akanitambulisha rafiki yake.
Baada ya kuondoka tukaanza kuwasiliana ananiambia we ni mzuri sana hadi huyu mzee hapa jirani ananitania yule mrembo umemtoa wapi,kakangu piaa!
Few months later akamaliza mwaka wa pili na kuwa likizo na mimi nkiwa natarajia kuingia mitihani yangu ya final.
Akanijuza kapata mwaliko america kutoka kwa rafiki zake wawili na taratibu zote za visa,tickect kafanya kwa gharama za wenyeji wake akafanikiwa kwenda. Alikaa kwa miezi mwili tunawasiliana kwa njia ya email nkiwa na mdogo wake.
Akirudi na tukaanza kuwasiliana as usually.
Kufupisha kuna kipindi alikua anapitia majukumu magumu ya kifamilia kama mtoto wa kwanza kwao,akawa anakosa hata muda nami. Nami nikawa frustrated na mambo yangu tukakorofishana na kupotezeana.
Baada ya mwaka mmoja nikiwa chuo sikuweza kuhimili alikuwa amenikaa sana kichwani hadI napata msongo wa mawazo.
Nikajiambia kwao napakumbuka nijaribu kwenda.
Nilipanga weekend asubuhi nikaifikia nyumba nikiwa nimekaa mbali kidogo nione kama atatokea mtu.
Masaa yalipita nikahisi hawapo japo mlango upo wazi. Akatokea mdada mrefu mweupe nikajua atakuwa member mojawapo wa familia.
Nilisogea na kumsalimia akanijibu nikaanza kumuulizia jamaa wakaanza kushangaa hawamjui. Nilitaka details zote hadI wadogo zake na Dada zake hawamjui
kuulizia ile nyumba wale wadada wanadai wao wameishi pale tangu udogoni na mtaa mzima wanawajua. Haijawahi kuishi familia nyingine hata kupangisha
nikawauliza kama kuliwahi kuwa na mzee seremala upande wa nyumba anaranda mbao wanajibu hakujawahi kuwa na fundi seremala hapo.
Na nikiangalia like eneo naona tupu hakuna dalili yoyote hata mzee kuacha mabenchi ya mbao.
Kuna maduka around nikawa nawauliza wanadai hawajahi kuishi na mtu wa aina hiyo, hawamjui
Lakini nyumba ni ile ile hadI ndani kuko vile vile. Mpaka sasa sipati jibu.
Maana alishare nami vitu vingi mno mpaka harusi ya mdogo wake ilifanyika kwenye nyumba hiyohiyo.
Safari zake zote.mamake ahata akiwa anaumwa na2julishwa nimpe pole mkwe. Plans zake zote.
Mfano alivorudi kutoka America alipewa zawadi ya gari akaghairi sababu hana uwezo wa kuhudumia, akaomba badala yake atumiwe vifaa vya office tufungue stationary kubwa kijitonyama.
Alikua so bright kiasi anapata nafasi za kazi kwenye biashara na makampuni za maprofessor wake. Kila kitu ndani ya ofisi anashare nami.
Mpaka sasa ananiwinda kichwani kama mzimu na hapo kwao ndo hivi kama nilivyopakuta sijapata majibu hadI sasa.
Alikuwa nani?