Alikua ana 'beep' nimempigia ana 'haha'

Alikua ana 'beep' nimempigia ana 'haha'

choupa moting

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2016
Posts
1,508
Reaction score
2,577
Za asubuhi wadau wanajukwaa.

Kwa takribani miezi kadhaa toka mwaka huu uanze nilikua na mahusianao ya kimapenzi na mrembo mmoja hapa mjini, ambapo wakati penzi linaanza lilikua tamu kiasi kwamba nikajiona natawala dunia yaani Trump ni kama secretary wangu lol.

Sasa as usual baada ya muda kupita penzi likashamiri akaanza kujiona ameniweka mfukoni na kuanza visa sijui kama alikua serious au alikua anatania, tukikwazana kitu kidogo anaishia "the door is open" sentensi ambayo ilikua inaninyima raha sana nikawa nakausha tu labda utani.

Ikawa ndio hivyo penzi likaanza visa na revenge za hapa na pale mpaka moyo wangu ukapasuka akatoweka kabisa.

Wiki kadhaa zilizopita tulizinguana kidogo akarudia maneno yake hapo ndipo alielewa maana ya choupa moting maana nilimpa makombora ya Korea Kaskazini mpaka akashangaa ndio yule ambaye nilikua namshika mpaka sharubu au ni mwingine.

Sasa ngoma imehamia kwake, baada ya kumpiga chini akadhani natania mwisho wa siku anaona siku zinakata sina time nae nafanya yangu simpigii simu wala SMS wala salamu yake sina haja nayo mi nafanya yangu.

Amebaki akipiga simu na SMS za kila namna kila wakati mi sina time nazo nafanya yangu na maisha yanaenda kama kawaida. Amefikia point anaiuliza "wewe mwanaume gani hujui kusamehe unaona raha mi nikipata taabu"

Anaomba sana msamaha amefikia mpaka kupitia kwa washikaji zangu ili wanishawishi mi sina time nawaambia kama wanamtaka waendee nae mi sirudiagi matapishi. Kwa kweli anatia huruma, naskia huko kazini kwao hata kazi haziendi analialia tu kila time.

Angalizo: Wadada msifanye msiyoyaweza mwisho mnatia huruma tu.

Choupa moting.
 
Za asubuhi wadau wanajukwaa. Kwa takriban miezi kadhaa toka mwaka huu uanze nilikua na mahusianao ya kimapenzi na mrembo mmoja hapa mjini, ambapo wakat penzi linaanza lilikua tamu kiasi kwamba nikajiona natawala dunia yaan trump ni kama secretary wangu lol. Sasa as usual baada ya muda kupita penzi likashamili akaanza kujiona ameniweka mfukoni na kuanza visa sijui kama alikua serious au alikua anatania, tukikwazana kitu kidogo anaishia "the door is open" sentensi ambayo ilikua inaninyima raha sana nikawa nakausha tu labda utani. Ikawa ndio hvyo penzi likaanza visa na revenge za hapa na pale mpaka moyo wangu ukapasuka akatoweka kabsa.
Wiki kadhaa zilizopita tulizinguana kidogo akarudia maneno yake hapo ndipo alielewa maana ya CHOUPA MOTING maana nilimpa makombora ya korea kaskazini mpaka akashangaa ndio yule ambaye nilikua namshika mpaka sharubu au ni mwingine.
Sasa ngoma imehamia kwake, baada ya kumpiga chini akadhan natania mwisho wa siku anaona siku znakata sina time nae nafanya yangu Simpigii simu wala sms wala salamu yake sina haja nayo mi nafanya yangu. Amebaki akipiga simu na sms za kila namna kila wakati mi sina time nazo nafanya yangu na maisha yanaenda kama kawaida. Amefikia point anaiuliza "ww mwanaume gani hujui kusamehe unaona raha mi nikipata taabu" Anaomba sana msamaha amefikia mpaka kupitia kwa washkaji zangu ili wanishawishi mi sina time nawaambia kama wanamtaka waendee nae mi sirudiagi matapishi. Kwa kwel anatia huruma, naskia huko kazini kwao hata kaz haziend analialia tu kila time.
Angalizo: wadada msifanye msiyoyaweza mwisho matia huruma tu.
Choupa moting.
Msamehe tu ni utoto Bado unamsumbua hata ivo na ww unampenda kwa mujibu wa maelezo yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
alafu izi biti za tuachane, usinifatilie mara nyingi huwa zinamuumiza yule anayeileta pindi upande wa 2 ukipoteza mapenzi kiukweli.

kuna mmoja nami biti nyingi tuachane, sijui nini? nkakausha mazima akarudi kwa misamaha mingi sasa namwendesha kinyama hana hata sauti tena
 
alafu izi biti za tuachane, usinifatilie mara nyingi huwa zinamuumiza yule anayeileta pindi upande wa 2 ukipoteza mapenzi kiukweli.

kuna mmoja nami biti nyingi tuachane, sijui nini? nkakausha mazima akarudi kwa misamaha mingi sasa namwendesha kinyama hana hata sauti tena

Kweli mazee sijui hawa watu wana akili za wapi yaan wanatia aibu kweli kudadeki.
 
As long as inakupa furaha na amani ya moyo ndio muhimu,yeye ata ji sort nna imani kua wewe sio wa kwanza kwake na wala hutokua wa mwisho,maisha yake yataendelea hata kama haupo nae..
 
Kuna wanawake akili ndogo sana. Well done,siku hizi sifagilii hii jinsia moja nami haina maana.



Kila mtu apambane na hali yake.
Mh! Wewe, [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]

[emoji3][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23]   [emoji100][emoji124][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Back
Top Bottom