Alikataa nisimuoe kisa ualimu

Alikataa nisimuoe kisa ualimu

Huyo amekuweza sijuwi kakutega wapi mpaka ukaanza wewe, hapo naona tayari maamuzi umechukua haukuwa na haja ya kuomba ushauri, umemuomba umoe awe mke wa pili akasema hata kesho yupo tayari.

Naamini mwanamke atakayenikataa leo kwa sababu yoyote ile iliye nje ya uwezo wangu hata kesho nikija badilika nitamkataa mimi hata ikiwa ataonesha kunijali kiasi gani.

Mwanamke anayenivumilia kwasasa pamoja na changamoto nilizonazo ndiye yule nitamvumilia mimi.

Kwangu mimi nisingekuwa tayari, ningekuwa radhi ikiwa nitaoa kuoa mwanamke mwingine tofauti kuliko kumuoa yeye.
 
Anachofanya ukimkubalia,atataka kureplace nafasi ya Mkeo aichukue yeye,acha upumbavu kama unampenda, usingelimuoa uliyenaye.
 
Rachel halafu binti wa kiislamu. Pia take home st anthony si 700k
By then hata Loan boad walikuwa hawakati yani tulilipwa kama ilivyo coz tulikuwa vibarua mpaka ajira zitoke ndio walikuwa wanaajiri walimu waliotayari kufundisha private na wanaotaka security huwa ajira za gvt zikitoka walikuwa wanaacha kipindi hicho ajira za ualimu zilikuwa za kumwaga
 
Sijui Mm nakosea wap naona wote humu mnamaisha mazuri wake wazuri elimu ya kiwango

Tupeni na Ss technique za kusaka hiyo mihela jaman
Kuwa mbaili kama unapata 700k kula 200k save 500k baada ya mwaka unafungua mradi wa kukuingizia 500k kwa mwezi ukichanganya na ile inakumwa1m as a month saving mara mwaka unapata IST inakuingizia 900k kwa mwezi mara mwaka unapata 15+ hujawa na maisha mazuri tu mkuu
 
Ila Nakushauri baki na mkeo, utakuja kujuta kumwacha. Kama hakukuthamini mwanzo, ikitokea mwingine akamthamini usitegemee atakaa kwako. Kama angekuwa na upendo, angelitulizana toka mwanzo.

Ogopa upendo wa mtu akiwa kwenye matatizo
Asante
 
Back
Top Bottom