Alikataa nisimuoe kisa ualimu

Alikataa nisimuoe kisa ualimu

Akili za wanaume mnazijua wenyewe!

Huyo alokupenda ukiwa na uwalimu wako yeye unamuona sio kitu sababu ya mtu alokuacha sababu ya huo huo ualimu?!

Kila la kheri Mkuu, ila usidhani anakupenda wewe anapenda ulicho nacho!
Hata yeye hayuko vibaya yupo poa najua kuna alichojifunza
 
Huyo amekuweza sijuwi kakutega wapi mpaka ukaanza wewe, hapo naona tayari maamuzi umechukua haukuwa na haja ya kuomba ushauri, umemuomba umoe awe mke wa pili akasema hata kesho yupo tayari.

Naamini mwanamke atakayenikataa leo kwa sababu yoyote ile iliye nje ya uwezo wangu hata kesho nikija badilika nitamkataa mimi hata ikiwa ataonesha kunijali kiasi gani.

Mwanamke anayenivumilia kwasasa pamoja na changamoto nilizonazo ndiye yule nitamvumilia mimi.

Kwangu mimi nisingekuwa tayari, ningekuwa radhi ikiwa nitaoa kuoa mwanamke mwingine tofauti kuliko kumuoa yeye.
Ni mzuri mnoooo
 
Akili za wanaume mnazijua wenyewe!

Huyo alokupenda ukiwa na uwalimu wako yeye unamuona sio kitu sababu ya mtu alokuacha sababu ya huo huo ualimu?!

Kila la kheri Mkuu, ila usidhani anakupenda wewe anapenda ulicho nacho!
Mimi mwenyewe napataga wakati ngumu
Sana kujitambulisha mama ake, utakuta rafiki zangu IT expert makao makuu NMB, treasurer TBL, Municipal engeering kinondoni. Environmental expert NEMC.

Mimi sasa ikifika, ahaa nipo mjini naunga unga tu; twapambana huku na pale.
 
I don't dispute what you have written but it is hard for a woman to ask for what you try to convince us to believe, unless you have moved her to be your side chick.
 
Mimi mwenyewe napataga wakati ngumu
Sana kujitambulisha mama ake, utakuta rafiki zangu IT expert makao makuu NMB, treasurer TBL, Municipal engeering kinondoni. Environmental expert NEMC.

Mimi sasa ikifika, ahaa nipo mjini naunga unga tu; twapambana huku na pale.
Wala usione aibu ya kuwa mkweli! Ndo kazi yako, ndo inayokufanya uishi! ..
 
Back
Top Bottom