Alikataa nisimuoe kisa ualimu

Alikataa nisimuoe kisa ualimu

Nashauri kwa suala LA dini owa mwingine sio Rachel na sijui hawa Rachel wanamatatizo gani kwa kweli
 
Sijui Mm nakosea wap naona wote humu mnamaisha mazuri wake wazuri elimu ya kiwango

Tupeni na Ss technique za kusaka hiyo mihela jaman
 
Kupima kwanza ni jambo la msingi
Ila Nakushauri baki na mkeo, utakuja kujuta kumwacha. Kama hakukuthamini mwanzo, ikitokea mwingine akamthamini usitegemee atakaa kwako. Kama angekuwa na upendo, angelitulizana toka mwanzo.

Ogopa upendo wa mtu akiwa kwenye matatizo
 
Sasa umefuta nini wakati screenshot inasema una reply kwa mariam ? Unasema Rachel ili kupunguza makali.

Ushauri uyo dada achana nar
 
Dah...achana na maneno ya watu....nenda kafe kiume,
 
duh.. hii kama vile ndo post iliompanikisha Unique flower.
 
Back
Top Bottom