Alikataa nisimuoe kisa ualimu

Alikataa nisimuoe kisa ualimu

Huyo hata sifa ya kuwa side chick hana!

Tulia na M.D. wako Glory ufaidi maisha mdogo wangu!

Achana naye huyo ambaye alidhani maisha yapo kama tamthilia wanazotaama, atakuharibia maisha/ndoa yako!
We umetulia na wako?
 
Ambao tunaona Mtoa Post kaleta Chai tupo wangapi? Mtoa post hajui Kuandika Hata Rachel?? na anasema ana Degree ya Mlimani!
Duh!
Ww ndio watoto nisiotaka comment zao
 
Mpende sana mke wako.
Hao wanawake wa hivo achana nao.
 
Huyo kaja tu kukupumzikia yan inaonekana wanaume wanamtumia afu hakuna muoaji ko ameona arud kwako,uamuz n wako ila m nakushauri usithubutu hata kumfanya mchepuko ukijarbu na mkeo akajua utarud kuhadithia m naona ulishasong mbele sasa hayo mavi ya kale ya kazi gan
 
Back
Top Bottom