Halafu sijui anatumia tecno W2Mkuu unatumia mtanda unasoma "E" watu tupo 4G+
Ni kipi hichoUnachokitafuta UTAKIPATA
Kua uyaoneTulia na mkeo ww
Atajua mwenyeweDaah vipi kama yumo humu?
Wanaume tunarizika mke mmoja bossMkuu haina haja ya maneno mengi.
Achana na huyo mwanamke,ni mpuuzi sana..tulia na shemeji mkuu,usijitafutie matatizo
SawaKama ni mvuvi vua acha kucheza na mashua
Asante kakaFuata moyo wako unataka
Asante kakaShetani uyo unamkaribisha kwenye maisha yako mpe nafasi na utakacho kutana nacho utarudi jf unalia we endelea na penzi LA dr wako achana na uyo shetan wa kike mkuu
How mkuuUtajuta
Unashauri nn hapa mkuuanakuomba ajira ya ndoa wewe unamnyima una dhambi sana...ila mimi ni mshauri wa miaka 43