T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 10,650
- 34,934
Acha kuweka emoji za kucheka ovyo. Unaongea point zako huku unacheka na sioni cha kuchekesha hapaBlah blah.
Unajiongelea tu.
Umekosa hoja, sasa una jaribu kuonyesha chuki zako kwa Jewz.
Kwa taarifa yako Wapalestina wanafanya Kazi katika nchi ya Uyahudi.
WOTE ndio kitu gani?
Acha Hisia.
Kule nchini Russian yupo raia tajiri maarufu bilionea Abromavich ambaye ni Myahudi na yupo katika system ya Russia na akina Putin, anachimba mafuta huko.
Taifa la Israel linashiriki mechi za Ulaya. Bilionea Abromavich anamiliki timu ya chelsea hapo UK
Kusahau Wayahudi waliopigania Taifa la AMerica mpaka likapata Uhuru chini ya Mwingereza.
Kuna waamerika wengi ambao ni Bloodline ya Jews.
Vyuo vikuu bora na vikubwa nchini US. Yale University nk
Wanasayansi wanaoheshimika sana duniani walioshiriki kuunda Taifa la Israel na chuo kikuu pale Israel akina Albert Einstein, na wengineo wengi.
Bila kuwasahau Wanasayansi na askari wa Kiyahudi walioisaidia UK ikaishinda Ottoman Empire wakipigana sambamba na jeshi la UK na mwasayansi wa kiyahudi aliyeunda unga wa vilipuzi zamani hizo ili kulisaidia jeshi la Great Britain
Kuna Idadi ya Nobel Prices walizopewa wayahudi katika fani mbalimbali za kisayansi, kitabibu nk.. Waarabu wote duniani hawafikishi hata robo. Bado utasema Wayahudi wanabaguliwa.
Na kuhusu Swala la Unyonyaji ni Hofu zako zinatokana na "Jewphobia".
Kwahizo baseless arguments ulizokwisha sema mpaka sasa. Nachoweza kusema Wayahudi ni watu wenye Akili sana. Mti wenye Matunda haukosi kutupiwa mawe.