MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 20,897
- 63,783
Huyu jamaa ni Myahudi ambaye amefanya utafiti kuhusu taifa la Israel kwa miaka mingi sana. Siku zote huwashinda wapinzani wake kwa hoja nzito ambazo amezifanyia utafiti wa kina. Anajiamini sana na anafahamu vizuri sana anachokisema.
Hapa alikuwa akihojiwa kwenye BBC HardTalk:
Hapa alikuwa akihojiwa kwenye BBC HardTalk: