Alichosema Dr Mashinji kuhusu chaguzi

Hapa namkubali sana mama mshumbushi, alikabiliana na ffu kule arusha kisawasawa, sasa hawa wasanii kusikia bomu la machozi hao wakalala mbele,

Hivi hao wakurya waliowakodi bado wako dar tu?
wako beach naona wanashangaa bahari
 
I will always side with the underdog!

Underdog's side is the righteous side!

CCM is really bad for any human being including CCM members themselves!
 
Kupitia Account/ ukurasa wake wa Twitter Dr Mashinji amekubali Matokeo hata kabla ya Kutangazwa na anaganga ya Chaguzi zijazo sisi vidagaa tumuunge mkono Dr. Mashinji uchaguzi umeisha.


Rudi shule ukasome we msukule,umeandika kitu gani hapo?MATOLE?
 
Mkuu Poise
Umesema jambo ambalo no muhimu kuliangalia CUF nako wanasalitiana wenyewe kwa wenyewe
 
Sasa hiyo ni kukubali matokeo??

Yeye kasema ni lazima kama chama kitafakari njia mpya ya kukabiliana na dhuluma hizo za CCM kutegemea kubebwa na mbeleko za Tume ya uchaguzi na Jeshi la Polisi
mkuu unafikiri huyu hajaelewa kilichoandikwa na Dr mashinji? Aanajichetua tu.
 
Mkuu Poise
Umesema jambo ambalo ni muhimu kuliangalia CUF nako wanasalitiana wenyewe kwa wenyewe
 
Back
Top Bottom