Alichosema Dr Mashinji kuhusu chaguzi

Alichosema Dr Mashinji kuhusu chaguzi

Kupitia Account/ ukurasa wake wa Twitter Dr Mashinji amekubali Matokeo hata kabla ya Kutangazwa na anaganga ya Chaguzi zijazo sisi vidagaa tumuunge mkono Dr. Mashinji uchaguzi umeisha.

Acha uongo unajiongezea dhambi tu pasipo sababu!!!
 
Hapa namkubali sana mama mshumbushi, alikabiliana na ffu kule arusha kisawasawa, sasa hawa wasanii kusikia bomu la machozi hao wakalala mbele,

Hivi hao wakurya waliowakodi bado wako dar tu?
 
Mbowe alifanya vurugu makusudi jana ili kichapo kitembee na kupunguza kura za Chadema makusudi.

Vijana wengi wanatajwa kutokupiga kura leo sijui nani mshauri wa Mbowe kwa maamuzi yale kwa kweli.

Hata ningekuwa mimi kwa kichapo kile cha jioni kabisa asbh eti nidamke nikapige kura. Cant do that.

Mbowe alipaswa kubembeleza mtaji wake kwa busara ya hali ya juu kabisa. Sitashangaa Chadema kikishika nafasi ya tatu (3) Kinondoni.

Hayo mambo ya mawakala alikuwa na wise option nyingi tu hata kwenda mahakamani jana kuzuia uchaguzi hadi tupate tafsiri ya sheria ni lini mawakala wanapewa viapo vyao?

Mahakama ya Tanzania si ya kuidharau hata kidogo kwani ni mara nyingi tu imetoa maamuzi kwa faida ya upinzani na hata ikitokea mahakama ikajipotosha wenye busara tutaona na kujua hilo.
 
Kwa NEC hii chini ya katiba hii na sheria zilizopo, hakuna mbinu za kuthibiti dhuluma ya CCM. Watanzania tufike mahali tujue na kuamini kuwa mara nyingi haki haiwezi kupatikana bila kuipigania.

Wenye akili tulijua mapema kuwa uchaguzi huu ni wa kujaribu tu kushikilia majimbo ambayo CCM "wameyanunua" toka kwa wabunge wasaliti wasiothamini wananchi wananchi waliowachagua hapo kwanza.

"NECCCM" itamtangaza Mtulia na Mollel kuwa washindi katika uchaguzi mdogo Kinondoni na Siha lakini nitashangaa kama kutakuwa na sherehe za ushindi!
 
Kupitia Account/ ukurasa wake wa Twitter Dr Mashinji amekubali Matokeo hata kabla ya Kutangazwa na anaganga ya Chaguzi zijazo sisi vidagaa tumuunge mkono Dr. Mashinji uchaguzi umeisha.

tusubiri kura zihesabiwe tupewe hesabu nani kashinda, tuache mihemko ya siasa.
 
Mwalimu akalime bamia Ruaha mbuyuni mbn atapata tu ela
 
Hata hivyo chama hiki cha majambazi kimekiri kimoyomoyo kwamba hakitakiwi nchini bila polisi na tume uchwara hakuna mbunge diwani au mwenyekiti was mtaa watakayempata.

Kwa hali hii mwaka 2020 lazima jeshi la RPF lijitwalie mkataba was hela ndefu ili kuja kuua wapinzani ishinde ciem emu!
 
Mbowe alifanya vurugu makusudi jana ili kichapo kitembee na kupunguza kura za Chadema makusudi.

Vijana wengi wanatajwa kutokupiga kura leo sijui nani mshauri wa Mbowe kwa maamuzi yale kwa kweli.

Hata ningekuwa mimi kwa kichapo kile cha jioni kabisa asbh eti nidamke nikapige kura. Cant do that.

Mbowe alipaswa kubembeleza mtaji wake kwa busara ya hali ya juu kabisa. Sitashangaa Chadema kikishika nafasi ya tatu (3) Kinondoni.

Hayo mambo ya mawakala alikuwa na wise option nyingi tu hata kwenda mahakamani jana kuzuia uchaguzi hadi tupate tafsiri ya sheria ni lini mawakala wanapewa viapo vyao?

Mahakama ya Tanzania si ya kuidharau hata kidogo kwani ni mara nyingi tu imetoa maamuzi kwa faida ya upinzani na hata ikitokea mahakama ikajipotosha wenye busara tutaona na kujua hilo.
tumbo lake analijali zaidi kuliko vyote
 
Vituoni tunaongoza sasa ww unasemaje amesalimu amri!? Acha uongo kaka.
 
,,,
Ccm haiaminiki ni wezi. CDM wananunulika yaani ni tabu tupu humu Tanzania.
Yaan,hapo ndo unachoka kabisa,ndo maana mimi naufatilia uchaguzi kwenye mitandao
 
Back
Top Bottom