Kupitia Account/ ukurasa wake wa Twitter Dr Mashinji amekubali Matokeo hata kabla ya Kutangazwa na anaganga ya Chaguzi zijazo sisi vidagaa tumuunge mkono Dr. Mashinji uchaguzi umeisha.
Kupitia Account/ ukurasa wake wa Twitter Dr Mashinji amekubali Matokeo hata kabla ya Kutangazwa na anaganga ya Chaguzi zijazo sisi vidagaa tumuunge mkono Dr. Mashinji uchaguzi umeisha.
Pumbavu kabisaBila hizo mnazoziita Dhuluma, CHADEMA ingekua imekufa kabisaa, naona hata wao wanazitafuta ili waendelee kuwepo front pages
Mawakala tumewaandikia barua feki.Hawakuruhusiwa kufanya kazi za uwakalaSisi akina Nani si mlisema Salimu atashinda? Jana Mawakala wenu si wamekula Kiapo?
hahaha raha sana mkuuHahaha. Yani rahaa haya majamaa yakishindwaga.
aiseee duh!Hahaha Tuliwaambia Cdm kushinda labda na njaa sio Ushindi wa ubunge Kinondoni