johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,027
- 142,076
Mbunge wa Nzega Vijijini Dr Kigwangalla ameonya kuwa Tanzania inajenga Taifa la Watu wavivu, Wanapenda kula Bata bila kufanya kazi, Wala rushwa, Wezi, Madhulumati, Waongo Waongo na wanapenda kujimwambafy wakati hawana chochote
Taifa ambalo kila mwajiriwa wa Umma anawaza kuiba badala ya utendaji wa ufanisi
Kigwangalla ametoa angalizo kupitia ukurasa wake wa twitter
Taifa ambalo kila mwajiriwa wa Umma anawaza kuiba badala ya utendaji wa ufanisi
Kigwangalla ametoa angalizo kupitia ukurasa wake wa twitter