Alichofanyiwa huyu dada leo.....!!

Ngoja kidogo, alishuka kwenye Landrover akaenda bureau de change it means jamaa alikua anamsubiri kwenye gari. Akaenda ndani, akatoka kwa kufukuzwa. Hivi Ina make sense kweli mtu nikupe hela fake then nakusubiri kabisa kwenye gari halafu unatoka kwa aibu halafu unarudi tena kwenye gari?
Labda Mimi nimesoma vibaya....sijaona aliposema alirudi kwenye gari....
 
Bhana bhana leo nilikuwa na mishe flani hivi Sinza madukani...sasa baada ya kufika nika chill sehemu namsubiria mwenyeji wangu

Dakika si nyingi ikaja LAND ROVER ikapaki pembeni kisha ikashuka pisi moja ya maana..nnaposema ya maana namaanisha ..sasa yule sista kashuka kwa madoido yote akaenda sehemu ya kubadili fedha za kigeni

DK 5 hazikuisha mle ndani nikaona dada anatolewa kwa kusukumwa kama kaiba vile..ikabidi tusogee karibu kujua tatizo ni nini

Kumbe dada wa watu aliachiwa Dola 500 na yule jamaa wa LAND ROVER ambazo zilikuwa ni FEKI,Kwa hiyo alikuwa kama anawalazimisha watu wa mle ndani wambadilishie fedha kwani aliamini hazina Ufeki wowote

Maskini dada wa watu katolewa ndani kwa kusukumwasukumwa na maneno makali..u sista du wote umemwisha..alikuwa kdg yupo pombe lakni kwa ile SITUATION Pombe yote imemruka,amebaki analia tu maskini hata ukimuuliza swali anabaki kujibu"mimi wa kufanyiwa hivi?"

Inavyoonekana Jamaa amekula nae bata usiku mzima then manzi akijua kapata mshiko wa maana akaishia kutapeliwa tu masikini, huku MZIGO ushaliwa

Wasamaria wema mkamsaidie bhana..mi nimemwacha hapo amekaa tu chini(kwenye ngazi za kupandia duka la Vunja bei) hata viatu hana,akili yote imemruka..kweli wanaume Konyo!!

Huyu jamaa msimuamini, kutunga habari feki ndiyo mlo wake wa kila siku!
 
Hapa vunjabei hii ghorofa ya emirates ndani kuna bureau ndio hapahapa nimeshuhudia hata mm
Nawe pia utaitwa MUONGO 🤣🤣🤣

Yaani baadhi yetu tuna tabia ya "kutoana akili kweli" labda angeandika GENTA ingeonekana kweli ha ha ha
 
Alafu hii tabia ya mtu kaenda na pesa feki sehemu fulani na kuanza kumfanyia ABUSE kama mtuhumiwa si vizuri watu wengi hawajui fedha feki kuna wezi ila pia kuna waliobambikiwa

Mfano huyo Dada huyo mwenye B'Change si angekataa tu una mdharirisha mtu vipi.

Kama limemtokea huyo na kumsimanga kwa kile unachokiita 'Malaya' bila kuangalia nini kilichotokea si sahihi inaweza mtokea yeyote hata Mamayako je utasimama na 'umalaya'
 
Bhana bhana leo nilikuwa na mishe flani hivi Sinza madukani...sasa baada ya kufika nika chill sehemu namsubiria mwenyeji wangu

Dakika si nyingi ikaja LAND ROVER ikapaki pembeni kisha ikashuka pisi moja ya maana..nnaposema ya maana namaanisha ..sasa yule sista kashuka kwa madoido yote akaenda sehemu ya kubadili fedha za kigeni

DK 5 hazikuisha mle ndani nikaona dada anatolewa kwa kusukumwa kama kaiba vile..ikabidi tusogee karibu kujua tatizo ni nini

Kumbe dada wa watu aliachiwa Dola 500 na yule jamaa wa LAND ROVER ambazo zilikuwa ni FEKI,Kwa hiyo alikuwa kama anawalazimisha watu wa mle ndani wambadilishie fedha kwani aliamini hazina Ufeki wowote

Maskini dada wa watu katolewa ndani kwa kusukumwasukumwa na maneno makali..u sista du wote umemwisha..alikuwa kdg yupo pombe lakni kwa ile SITUATION Pombe yote imemruka,amebaki analia tu maskini hata ukimuuliza swali anabaki kujibu"mimi wa kufanyiwa hivi?"

Inavyoonekana Jamaa amekula nae bata usiku mzima then manzi akijua kapata mshiko wa maana akaishia kutapeliwa tu masikini, huku MZIGO ushaliwa

Wasamaria wema mkamsaidie bhana..mi nimemwacha hapo amekaa tu chini(kwenye ngazi za kupandia duka la Vunja bei) hata viatu hana,akili yote imemruka..kweli wanaume Konyo!!
Ashukuru yupo salama angekutana na danga ambaye ni jini angekomaje
 
Alafu hii tabia ya mtu kaenda na pesa feki sehemu fulani na kuanza kumfanyia ABUSE kama mtuhumiwa si vizuri watu wengi hawajui fedha feki kuna wezi ila pia kuna waliobambikiwa

Mfano huyo Dada huyo mwenye B'Change si angekataa tu una mdharirisha mtu vipi.

Kama limemtokea huyo na kumsimanga kwa kile unachokiita 'Malaya' bila kuangalia nini kilichotokea si sahihi inaweza mtokea yeyote hata Mamayako je utasimama na 'umalaya'
Point👍

Jamaa hawakufanya POA...Kwani fedha feki kuijua ni kazi....

Wamemdhalilisha huyo dada...
 
Kwanza bahati yake walimtoa tu hapo kwenye duka la kubadilishi hela,maana hiyo ni kesi,wangeweza kumfungulia mashtaka.
Je niwote walio na fedha feki mkononi ni wanafahamu hizo ni feki??

Wote wanaoenda kufanya huduma fulani na fedha feki ni waharifu??, tufanye wote ni waharifu je yule aliyepokea na yeye kwenda kufanya huduma sehemu nyengine na yeye muharifu??

Fedha...medium of Exchange
 
Alafu hii tabia ya mtu kaenda na pesa feki sehemu fulani na kuanza kumfanyia ABUSE kama mtuhumiwa si vizuri watu wengi hawajui fedha feki kuna wezi ila pia kuna waliobambikiwa

Mfano huyo Dada huyo mwenye B'Change si angekataa tu una mdharirisha mtu vipi.

Kama limemtokea huyo na kumsimanga kwa kile unachokiita 'Malaya' bila kuangalia nini kilichotokea si sahihi inaweza mtokea yeyote hata Mamayako je utasimama na 'umalaya'
Inawezekana huyo dada alikuwa mbishi akiamini katoa fedha halali kumbuka alikuwa pombe watu wapo kazini lazima wa react
 
Inawezekana huyo dada alikuwa mbishi akiamini katoa fedha halali kumbuka alikuwa pombe watu wapo kazini lazima wa react
Kwa sababu hiyo nasapoti...ila hii imekuwa tabia uki Hold fedha feki ukaenda kufanya muamala sehemu muhudumu akaijua feki Response anayotoa ni ABUSE tu Matusi na anaweza kukuitia WIZI HELL IS THAT.

kama suala la kuitiwa MWIZI watu wanavtamia na kumpiga mtu.
 
Bhana bhana leo nilikuwa na mishe flani hivi Sinza madukani...sasa baada ya kufika nika chill sehemu namsubiria mwenyeji wangu

Dakika si nyingi ikaja LAND ROVER ikapaki pembeni kisha ikashuka pisi moja ya maana..nnaposema ya maana namaanisha ..sasa yule sista kashuka kwa madoido yote akaenda sehemu ya kubadili fedha za kigeni

DK 5 hazikuisha mle ndani nikaona dada anatolewa kwa kusukumwa kama kaiba vile..ikabidi tusogee karibu kujua tatizo ni nini

Kumbe dada wa watu aliachiwa Dola 500 na yule jamaa wa LAND ROVER ambazo zilikuwa ni FEKI,Kwa hiyo alikuwa kama anawalazimisha watu wa mle ndani wambadilishie fedha kwani aliamini hazina Ufeki wowote

Maskini dada wa watu katolewa ndani kwa kusukumwasukumwa na maneno makali..u sista du wote umemwisha..alikuwa kdg yupo pombe lakni kwa ile SITUATION Pombe yote imemruka,amebaki analia tu maskini hata ukimuuliza swali anabaki kujibu"mimi wa kufanyiwa hivi?"

Inavyoonekana Jamaa amekula nae bata usiku mzima then manzi akijua kapata mshiko wa maana akaishia kutapeliwa tu masikini, huku MZIGO ushaliwa

Wasamaria wema mkamsaidie bhana..mi nimemwacha hapo amekaa tu chini(kwenye ngazi za kupandia duka la Vunja bei) hata viatu hana,akili yote imemruka..kweli wanaume Konyo!!
Sinza madukani kuna burea de change
 
Alafu hii tabia ya mtu kaenda na pesa feki sehemu fulani na kuanza kumfanyia ABUSE kama mtuhumiwa si vizuri watu wengi hawajui fedha feki kuna wezi ila pia kuna waliobambikiwa

Mfano huyo Dada huyo mwenye B'Change si angekataa tu una mdharirisha mtu vipi.

Kama limemtokea huyo na kumsimanga kwa kile unachokiita 'Malaya' bila kuangalia nini kilichotokea si sahihi inaweza mtokea yeyote hata Mamayako je utasimama na 'umalaya'
Huwa wanataka Wenyewe ABUSE km wakigundua kuwa hata wewe hukujua
mm nishashuudia tena BANK ilikuwa NMB AIRPORT na Na Kwingne BACRAYS tawi la
Teller akamtole elf ya kumi ya kwnza chenga ya pili chenga jamaa kabaki kaduwaa ilikuja ya tatu akazirudisha km 5 hivi au 6 katika milion
Then akaweka zile zingne wala akumuabuse wala kuita mlinzi tena NMB km unavyojua ni mamwela kabisa
Na BACRAYS ilikuwa hvyohivyo sema wao wakamrudishia zote akaambiwa azichambue aje zikiwa sawa BACRAYS alikuwa mwanamke !a!
Sasa huyo dada inaonesha alileta UBISHI na akajiona mzuri inaoneshwa aliambiwa kifea tu hizi feki ila inaonesha alileta ubishi ndio maana
 
Ngoja kidogo, alishuka kwenye Landrover akaenda bureau de change it means jamaa alikua anamsubiri kwenye gari. Akaenda ndani, akatoka kwa kufukuzwa. Hivi Ina make sense kweli mtu nikupe hela fake then nakusubiri kabisa kwenye gari halafu unatoka kwa aibu halafu unarudi tena kwenye gari?
... hata kama jamaa kaleta chai hakuna mahali aliposema gari ilimsubiria. Kwa kawaida kahaba likishushwa mahali chombo kinatambaa kwa mwendo wa hatari lengo ni pamoja na kuficha identity ukizingatia muda wenyewe asubuhi kweupe! Tena wamemwachia na $ fake; hata line hazipatikani saa hizi.
 
Back
Top Bottom