Chai hii haijachemka bado mbichi, Sinywi Mimi.View attachment 1801292
Sio chai ni kweli tumeshuhudia tukio hilo hapa madukani
Chai hii haijachemka bado mbichi, Sinywi Mimi.View attachment 1801292
Taja hilo duka linaitwaje na lipo wapi kama sio muongo
Labda Mimi nimesoma vibaya....sijaona aliposema alirudi kwenye gari....Ngoja kidogo, alishuka kwenye Landrover akaenda bureau de change it means jamaa alikua anamsubiri kwenye gari. Akaenda ndani, akatoka kwa kufukuzwa. Hivi Ina make sense kweli mtu nikupe hela fake then nakusubiri kabisa kwenye gari halafu unatoka kwa aibu halafu unarudi tena kwenye gari?
Bhana bhana leo nilikuwa na mishe flani hivi Sinza madukani...sasa baada ya kufika nika chill sehemu namsubiria mwenyeji wangu
Dakika si nyingi ikaja LAND ROVER ikapaki pembeni kisha ikashuka pisi moja ya maana..nnaposema ya maana namaanisha ..sasa yule sista kashuka kwa madoido yote akaenda sehemu ya kubadili fedha za kigeni
DK 5 hazikuisha mle ndani nikaona dada anatolewa kwa kusukumwa kama kaiba vile..ikabidi tusogee karibu kujua tatizo ni nini
Kumbe dada wa watu aliachiwa Dola 500 na yule jamaa wa LAND ROVER ambazo zilikuwa ni FEKI,Kwa hiyo alikuwa kama anawalazimisha watu wa mle ndani wambadilishie fedha kwani aliamini hazina Ufeki wowote
Maskini dada wa watu katolewa ndani kwa kusukumwasukumwa na maneno makali..u sista du wote umemwisha..alikuwa kdg yupo pombe lakni kwa ile SITUATION Pombe yote imemruka,amebaki analia tu maskini hata ukimuuliza swali anabaki kujibu"mimi wa kufanyiwa hivi?"
Inavyoonekana Jamaa amekula nae bata usiku mzima then manzi akijua kapata mshiko wa maana akaishia kutapeliwa tu masikini, huku MZIGO ushaliwa
Wasamaria wema mkamsaidie bhana..mi nimemwacha hapo amekaa tu chini(kwenye ngazi za kupandia duka la Vunja bei) hata viatu hana,akili yote imemruka..kweli wanaume Konyo!!
Nawe pia utaitwa MUONGO 🤣🤣🤣Hapa vunjabei hii ghorofa ya emirates ndani kuna bureau ndio hapahapa nimeshuhudia hata mm
KimeumanaMaskini daah....
Hakufanyiwa POA kabisa....
Mtu atoe "usingizi "usiku kucha halafu yaani awe ameambulia tu GAMBE NA MISOSI...
Mjini Kuna mambo...full kuviziana
Naye huenda ameshawapiga na KUWAFOKOA wastaarabu wengi tu ha ha ha
Nawe pia utaitwa MUONGO
Yaani baadhi yetu tuna tabia ya "kutoana akili kweli" labda angeandika GENTA ingeonekana kweli ha ha ha
Ashukuru yupo salama angekutana na danga ambaye ni jini angekomajeBhana bhana leo nilikuwa na mishe flani hivi Sinza madukani...sasa baada ya kufika nika chill sehemu namsubiria mwenyeji wangu
Dakika si nyingi ikaja LAND ROVER ikapaki pembeni kisha ikashuka pisi moja ya maana..nnaposema ya maana namaanisha ..sasa yule sista kashuka kwa madoido yote akaenda sehemu ya kubadili fedha za kigeni
DK 5 hazikuisha mle ndani nikaona dada anatolewa kwa kusukumwa kama kaiba vile..ikabidi tusogee karibu kujua tatizo ni nini
Kumbe dada wa watu aliachiwa Dola 500 na yule jamaa wa LAND ROVER ambazo zilikuwa ni FEKI,Kwa hiyo alikuwa kama anawalazimisha watu wa mle ndani wambadilishie fedha kwani aliamini hazina Ufeki wowote
Maskini dada wa watu katolewa ndani kwa kusukumwasukumwa na maneno makali..u sista du wote umemwisha..alikuwa kdg yupo pombe lakni kwa ile SITUATION Pombe yote imemruka,amebaki analia tu maskini hata ukimuuliza swali anabaki kujibu"mimi wa kufanyiwa hivi?"
Inavyoonekana Jamaa amekula nae bata usiku mzima then manzi akijua kapata mshiko wa maana akaishia kutapeliwa tu masikini, huku MZIGO ushaliwa
Wasamaria wema mkamsaidie bhana..mi nimemwacha hapo amekaa tu chini(kwenye ngazi za kupandia duka la Vunja bei) hata viatu hana,akili yote imemruka..kweli wanaume Konyo!!
Point👍Alafu hii tabia ya mtu kaenda na pesa feki sehemu fulani na kuanza kumfanyia ABUSE kama mtuhumiwa si vizuri watu wengi hawajui fedha feki kuna wezi ila pia kuna waliobambikiwa
Mfano huyo Dada huyo mwenye B'Change si angekataa tu una mdharirisha mtu vipi.
Kama limemtokea huyo na kumsimanga kwa kile unachokiita 'Malaya' bila kuangalia nini kilichotokea si sahihi inaweza mtokea yeyote hata Mamayako je utasimama na 'umalaya'
Inaonekana jamaa hakumsubiriaNgoja kidogo, alishuka kwenye Landrover akaenda bureau de change it means jamaa alikua anamsubiri kwenye gari. Akaenda ndani, akatoka kwa kufukuzwa. Hivi Ina make sense kweli mtu nikupe hela fake then nakusubiri kabisa kwenye gari halafu unatoka kwa aibu halafu unarudi tena kwenye gari?
Je niwote walio na fedha feki mkononi ni wanafahamu hizo ni feki??Kwanza bahati yake walimtoa tu hapo kwenye duka la kubadilishi hela,maana hiyo ni kesi,wangeweza kumfungulia mashtaka.
Inawezekana huyo dada alikuwa mbishi akiamini katoa fedha halali kumbuka alikuwa pombe watu wapo kazini lazima wa reactAlafu hii tabia ya mtu kaenda na pesa feki sehemu fulani na kuanza kumfanyia ABUSE kama mtuhumiwa si vizuri watu wengi hawajui fedha feki kuna wezi ila pia kuna waliobambikiwa
Mfano huyo Dada huyo mwenye B'Change si angekataa tu una mdharirisha mtu vipi.
Kama limemtokea huyo na kumsimanga kwa kile unachokiita 'Malaya' bila kuangalia nini kilichotokea si sahihi inaweza mtokea yeyote hata Mamayako je utasimama na 'umalaya'
Kwa sababu hiyo nasapoti...ila hii imekuwa tabia uki Hold fedha feki ukaenda kufanya muamala sehemu muhudumu akaijua feki Response anayotoa ni ABUSE tu Matusi na anaweza kukuitia WIZI HELL IS THAT.Inawezekana huyo dada alikuwa mbishi akiamini katoa fedha halali kumbuka alikuwa pombe watu wapo kazini lazima wa react
Sinza madukani kuna burea de changeBhana bhana leo nilikuwa na mishe flani hivi Sinza madukani...sasa baada ya kufika nika chill sehemu namsubiria mwenyeji wangu
Dakika si nyingi ikaja LAND ROVER ikapaki pembeni kisha ikashuka pisi moja ya maana..nnaposema ya maana namaanisha ..sasa yule sista kashuka kwa madoido yote akaenda sehemu ya kubadili fedha za kigeni
DK 5 hazikuisha mle ndani nikaona dada anatolewa kwa kusukumwa kama kaiba vile..ikabidi tusogee karibu kujua tatizo ni nini
Kumbe dada wa watu aliachiwa Dola 500 na yule jamaa wa LAND ROVER ambazo zilikuwa ni FEKI,Kwa hiyo alikuwa kama anawalazimisha watu wa mle ndani wambadilishie fedha kwani aliamini hazina Ufeki wowote
Maskini dada wa watu katolewa ndani kwa kusukumwasukumwa na maneno makali..u sista du wote umemwisha..alikuwa kdg yupo pombe lakni kwa ile SITUATION Pombe yote imemruka,amebaki analia tu maskini hata ukimuuliza swali anabaki kujibu"mimi wa kufanyiwa hivi?"
Inavyoonekana Jamaa amekula nae bata usiku mzima then manzi akijua kapata mshiko wa maana akaishia kutapeliwa tu masikini, huku MZIGO ushaliwa
Wasamaria wema mkamsaidie bhana..mi nimemwacha hapo amekaa tu chini(kwenye ngazi za kupandia duka la Vunja bei) hata viatu hana,akili yote imemruka..kweli wanaume Konyo!!
Sinza madukani kuna burea de change
Huwa wanataka Wenyewe ABUSE km wakigundua kuwa hata wewe hukujuaAlafu hii tabia ya mtu kaenda na pesa feki sehemu fulani na kuanza kumfanyia ABUSE kama mtuhumiwa si vizuri watu wengi hawajui fedha feki kuna wezi ila pia kuna waliobambikiwa
Mfano huyo Dada huyo mwenye B'Change si angekataa tu una mdharirisha mtu vipi.
Kama limemtokea huyo na kumsimanga kwa kile unachokiita 'Malaya' bila kuangalia nini kilichotokea si sahihi inaweza mtokea yeyote hata Mamayako je utasimama na 'umalaya'
... hata kama jamaa kaleta chai hakuna mahali aliposema gari ilimsubiria. Kwa kawaida kahaba likishushwa mahali chombo kinatambaa kwa mwendo wa hatari lengo ni pamoja na kuficha identity ukizingatia muda wenyewe asubuhi kweupe! Tena wamemwachia na $ fake; hata line hazipatikani saa hizi.Ngoja kidogo, alishuka kwenye Landrover akaenda bureau de change it means jamaa alikua anamsubiri kwenye gari. Akaenda ndani, akatoka kwa kufukuzwa. Hivi Ina make sense kweli mtu nikupe hela fake then nakusubiri kabisa kwenye gari halafu unatoka kwa aibu halafu unarudi tena kwenye gari?