Horseshoe Arch
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 13,402
- 12,791
Ndo kwanza hajamaliza miaka mitatu akimaliza mitano sijui tutafika waiHuyu wa kwenu yuko busy kupambana na "wapinzani"....... Wakati huo 1.5 Trillion haijulikani ziko wapi!!
Ndo kwanza hajamaliza miaka mitatu akimaliza mitano sijui tutafika waiHuyu wa kwenu yuko busy kupambana na "wapinzani"....... Wakati huo 1.5 Trillion haijulikani ziko wapi!!
Ila kuna watu wanaongea tuHuyu jamaa anajua kucheza na dunia kwa manufaa ya nchi yake , Ila sio hawa wakolomije walioletwa mjini.
Kwani kunashida hata aendee tuuuMama Samia ametuwakilisha vema
Huo si mkutano wa EAC ni mkutano wa nchi zilizokuwa chini ya uingereza labda tu waombe kibali.Kagame naye hakuhudhuria?maana isije ikawa anamdanganya Mr JIWWE!
Hahah ama kweli mnanyoosha manaa sio kwa kasi hii hamuendi nje lakini 1.5trilion haijulikani ilipo manispaa ya kigoma wakurugenzi wamewajibishwa the same day ya ripoti ila huyu wa trilioni moja na nusu kaachwa hadi sasa kama vile hawajamwona...mwizi wa kuku kafungwa miaka 10 mwizi wa wa farasi kafungwa mwakaTunanyoosha nchi kwanza
Amehudhuria vizuri angalia social media zake ameweka picha yupo buckhiam palace dunia ya sasa kunetwork muhimuHuo si mkutano wa EAC ni mkutano wa nchi zilizokuwa chini ya uingereza labda tu waombe kibali.
Sometimes heri kuwa MleviTuache kumfananisha Uhuru na vitu vya kijinga! Pamoja na kwamba ni lilevi lakini kichwani liko njema!
Hata mimi nashangaa mkuu,, huyu mtu hanywi lakini amepigwa 1.5 trilion au sijui kapiga mwenyewe?Sometimes heri kuwa Mlevi