Alichofanya leo Rais Kenyatta London

Alichofanya leo Rais Kenyatta London

Safari kama hizo kikwete alienda sana mwisho wa siku inchi kama inchi ikakalia kidole cha kati mwacheni mzee wetu tukae naye mtaaani.
 
Wa kwetu anaangalia ukuta wa mererani kama unakauka vizuri usije leta nyufa majizi yakapitisha madini
 
Mtembea bure si mkaa bure, tuendelee kujifungia tu ndani, tukitoka mafisadi wataiba. Hapo hatujatoka 1.5 trillion imepotea, tukitoka je?
na saivi wajanja wanasema acc. zimetuna kweli yani ukiambua kuchota unachota kweli kweli sio kama wakati ule zilikuwa za msimu
 
Nikiwaza mpaka kichwa kinauma aisee. Twende mbele turudi nyuma trillion 1.5 si mchezo jamani.
Watanzania wangekuwa na ufahamu juu ya maswala ya fedha na haki yao ya kujua matumizi ya pesa zao katika miradi mbali mbali ya maendeleo, hili lingekuwa jambo kubwa la kumwajibisha mkulu
 
Back
Top Bottom