Alichofanya leo Rais Kenyatta London

Alichofanya leo Rais Kenyatta London

Huyu wetu Basi hata atuambie trillion 1.5 zimeenda wapi hataki?
Alisema hataki kusafiri kwasababu ya mafisadi Sasa awamu yake Ndio inaonekana itameza rekod kwa ufisadi

Subiri Ndege. Mbona hamuulizi. Mmezoea utapeli sasa mnajifanya ndo mpo hapo
 
Ila tuacheni utani, hii serikali isitufanye sisi mazezeta, watuambie Trillion 1.5 zimeenda wapi, haya ndio mambo yanayotufanya watz tuwe tunakuwa wazito kulipa kodi, maana mtu kila.ukifikiria jinsi pesa nyingi zinavyopotea basi inatia uchungu sana. 26/04.
 
Huyu wa kwenu yuko busy kupambana na "wapinzani"....... Wakati huo 1.5 Trillion haijulikani ziko wapi!!
Ila mbona hizi pesa ni nyingi sana, mtu hata ukiiba utazitumia kufanya nini? Utanunua majumba weee hadi utachoka, magari weee hadi utachoka, utahonga weee hadi utachoka, na hazitaisha, aliyeiba hizi atakuwa soo greedy!
 
Kupiga kengele ya kufungua solo ni jambo la kawaida saaaaanaaaaa.
 
Rais mwenye PhD asiyejua English. Anaogopa mikutano yote ya kimataifa inayotumia kiingereza!!!
 
Magufuli 2025..... Msipo nyooka awamu hizi na nyie ni maweee tena yale magangachumA
 
1. Hongera yake rais Kenyatta
"Mwenda bure si mkaa bure, huenda akaokota "

2. Bongo Bahati Mbaya
"Msinipangie, mimi ni baba mwenye nyumba; siyo baba mwenye chumba ".
 
Ila mbona hizi pesa ni nyingi sana, mtu hata ukiiba utazitumia kufanya nini? Utanunua majumba weee hadi utachoka, magari weee hadi utachoka, utahonga weee hadi utachoka, na hazitaisha, aliyeiba hizi atakuwa soo greedy!
Itakuwa sampuli ya kina vijisenti
Maana wale huwa hawazikinai
 
Back
Top Bottom