Steph Curry
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 5,936
- 4,713
Na hii vipi??? Ifike wakati tuache kupambanisha kwamba video anazofanya Dimondi na Kiba afanye za hivyo hivyo..
Pole sana tena sana kwa kuongea usichokijua zaidi ya chuki isiyo na hoja.Tekno, Davido, Wiz Kid ni wakubwa sana kwa Diamond, na hawezi kuwafikia hili tuongee kwa uwazi tu...
Tukiacha mambo ya tuzo, hebu tujiulize ni lini Diamond alienda kupiga show West Africa (acha show za matukio) au South Africa au nchi yeyote ya Africa ukitoa huku East Africa?? Ila hao akina Tekno, Davido, Wiz Kid wanapiga show nchi mbali mbali na wote hao walishakuja Tz kupiga show pia... Diamond ni Msanii maarufu/mkubwa anayetokea East Africa ila si Msanii Mkubwa Africa...
Huyo Adam Juma kashika bongo za wote au kashika ya kwako na ya kwake,yeye angekuwa anajua ubora wa video video zake mbona hazipigwi kimataifa ?????kaangalie alichoandika adam juma, mtu mwenye fani yake, sio wewe hujui chochote kuhusu video
Hiyo show gani sasa?? Mtu kaitwa kama Guest sio show yake hiyo...Pole sana tena sana kwa kuongea usichokijua zaidi ya chuki isiyo na hoja.
Hii hapa shoo ya West Africa NIGERIA na ni nje ya miji aliyozowea kwenda ambayo haikuwa ya tukio.
![]()
![]()
Sio kila video lazima zionyeshe mashori na magari ya kifahari na nyumba za ghorofa...
Hao Tembo ni kwasababu hii video imedhaminiwa na Wild Aid..
Hebu angalia hii video aliyodirect Eif Rivera moja kati ya directors wakubwa sana US.. Tatizo watu wanataka kama Chibu aliweka wazungu na magari kwenye video zake basi na Kiba afanye hivyo
Hiyo shoo yeye ndio artist mkuu na hao wengine ni wasindikizaji,kwani kuna m-nigeria aliyekuja bongo bila kupata msindikizaji ......Hiyo show gani sasa?? Mtu kaitwa kama Guest sio show yake hiyo...
Naomba ulete hapa akiperform kama Artist mkuu wa show kwenye mji wowote wa Africa ukitoa Afrika Mashariki..
Yaani nataka kama vile Tekno alivyokuja hapa juzi au Wiz Khalifa alivyokuja hapa pia...
Ebu acha ubishi basi... Artist Mkuu siku zote ndiye anafunga show...Hiyo shoo yeye ndio artist mkuu na hao wengine ni wasindikizaji,kwani kuna m-nigeria aliyekuja bongo bila kupata msindikizaji ......
Yeye aliperfom mwisho kwa kuwa yeye ndiye mwenye shoo.Ebu acha ubishi basi... Artist Mkuu siku zote ndiye anafunga show...
Sasa hiyo show unajua Diamond aliperform wa ngapi??
teh teh teh teh nikikwambia uniletee ushahidi wa nadharia au wa maneno kwamba yeye ndiye aliperform wa mwisho then show ikafungwa utaweza???Yeye aliperfom mwisho kwa kuwa yeye ndiye mwenye shoo.
ahahahahah...Pole sana tena sana kwa kuongea usichokijua zaidi ya chuki isiyo na hoja.
Hii hapa shoo ya West Africa NIGERIA na ni nje ya miji aliyozowea kwenda ambayo haikuwa ya tukio.
![]()
![]()
Hahahahaaaa mkuu hii comment imechoma wengi sana,na wameisoma kimyakimya.sasa ka
kaka mabeki tatu na masharabaro watakuelea kweli, maana ndio asili kubwa ya mashabiki wa ndomo
Wahenga walisema mapenzi upofu nami nasema USHABIKI UNYUMBU!Diamond Platnumz, karibuni kuachia wimbo
Wasafi Records yaonesha nia ya kumsaidia Hawa wa 'Nitarejea'
Diamond Platnumz afunguka kuhusu tuzo za Killi Music Awards
Hivi kwanini mashabiki wa Diamond hakuna mnalolikubali kwa Ali Kiba??? Mbona wenzenu wa Kiba wao kazi nzuri za Dimondi wanazikubali??
CC: Nifah
Amini niliyokuambia kwamba yeye ndiye aliyekuwa msanii mwenye shoo yake na ndio alikuwa wa mwisho kuperfom. Usimchulie poa DIAMOND ni msanii mkubwa Afrika kwa sasa upende usipende ndio imeshakuwa hivyo ni kumpa presha kiba kwa kumlinganisha naye wakati hamfiki kwa lolote si kimuziki wala kifedha keshaachwa mbali sana tena sana.teh teh teh teh nikikwambia uniletee ushahidi wa nadharia au wa maneno kwamba yeye ndiye aliperform wa mwisho then show ikafungwa utaweza???
Lugha gongana mkuu kamuone rasi simba aiseeebadilisha kwanza hiyo avatar yako ukitaka uwape elimu watu wenye akili TIMAMU..!
avatar yako inajieleza kila kitu kuhusu uwezo wako wa KUFIKIRI..!
ahsanteh...