Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Hahahaaaaa jamani mdogo wangu Abou Saydou hebu njoo kwanza huku hizo pm nitajibu baadae maana umenichekeshaje?
 
Last edited by a moderator:
Waliotaka Kiba awe nominated ndio wamuite international

Waje tu

Hapo ni diamondplatnumz pekeyake hiyo tuzo yetu bila kutumia nguvu yoyote... hio list yote unayoiona ni wasindikizaji tu kwasababu hawawezi kumuweka chibu pekeyake TUNABEBA KAMA MWSKA JANA
 
Waliotaka Kiba awe nominated ndio wamuite international

Waje tu

Hapo ni diamondplatnumz pekeyake hiyo tuzo yetu bila kutumia nguvu yoyote... hio list yote unayoiona ni wasindikizaji tu kwasababu hawawezi kumuweka chibu pekeyake mwakajana walimuweka Peter msechu hahahahaha leo wsmeleta msindikiaji mpya sasa sijui unataka kusema msevhu ni international kamtangulia le kimbaaaz TUNABEBA KAMA MWSKA JANA
 
Hapa sasa Kiba ndipo aone umuhimu wa kuwafollow watu wengine.
 
kiba ana a/c nyingi insta ikiwemo kiba square na fans page zoote hizo kawafollow watu na ujinga woote anapost katika hizo a/c
 
Nikiripoti kutoka afrimma

diamondplatnumz anaongoza kwa kupata nomination 7 africa nzimaaaaaaa maniiiiina

hakuna mwenye nomination sita wala tano anaofuatia atakuwa na 3 au 4 nakuja na ripoti kamili

nimecheeeeeeeka sana sasa mnajifariji huyu mtu best east wasipompa si watakuwa mapunga hahaha







mtanyoooka tu!!!!
 
Hapo ni diamondplatnumz pekeyake hiyo tuzo yetu bila kutumia nguvu yoyote... hio list yote unayoiona ni wasindikizaji tu kwasababu hawawezi kumuweka chibu pekeyake mwakajana walimuweka Peter msechu hahahahaha leo wsmeleta msindikiaji mpya sasa sijui unataka kusema msevhu ni international kamtangulia le kimbaaaz TUNABEBA KAMA MWSKA JANA

Sina urafiki na wewe nenda kavote kwa msanii wako ametajwa mbona vpngele 10 na uchafu

Then stop yo childish usiniquote negro
 
Back
Top Bottom