Hahahaaaaaaa ndo ivyo....
Domo ni mkata maunooo hahahaaaaa...
Kweli kamfunika kiba maana king anacheza kiume..
Sema ujue nini pigeni kura acheni mboyoyo.
Mtu anakujia juu kisa umetoa pongezi, ungekaa kimya ingekua ten mambo mengine.Sasa wataanza kumtaka Kiba atoe Pongezi. Ruttashobolwa ivi ulilala kweli waitu?
unavyo jichekesha chekesha kama faLAsi flani hivi amazing.
unavyo jichekesha chekesha kama faLAsi flani hivi amazing.
Mtoto ana balaa huyu 👑🔥
Hapo looh ananenguaa kweli alistahili kupata tuzo
Tuzo dai kishabeba, haya mzalendo hongeraEti unatoa pongezi uzalendo umeujua leo?
Kwani Simba ikishinda shabiki wa yanga hapaswi kupongeza.
Bla bla ujinga tupu.
Ndo nshapongeza kama hawataki wanifungulie thread.
Na utoto wao huu naujua ila haunipi shida.Kuna watu wanajiona kama wao ndio akina zari jamani
Mtumbuizaji bora na wanamuziki bora na wimbo bora na vinginevyo vilienda kwa mfalme
Dawa ni kuwa hater kama mimi.
Hamna cha pongezi wala mavi yake pongezi apa.
Hahahaaaa
Kumbe lugha ndio tatizo kwako ukibadilishiwa kidogo unakuwa miguu juu maana unacho kitolea mbovu juu ya tuzo alio pata mondi hujui kama ni category sawa na hiyo alio pata huyo mtetea tembo na nyati japo KTMA ipo kimaandaz sana, unajua unapo kuwa una jibu kila hoja humu some time unasahau nn unafanya mpaka unajikosoa mwenyewe na sijui kwann upo wewe tu au ndo kukosa kaz za kufanya na kuwa na stress za u jobless. Stop prising matters in over night situation ingia bafuni jimwagie maji labda unaweza kuwa na ufikilivu chanya juu ya yanayo kuzunguka.
halafu dizain hakuna anae kuunga mkono,wenzako wana kuchora wana kuona bwegere flani hvi ila wana shindwa tu kukuambia.
Kamà mbefele Usher Raymond huyu hapa au Kanye ndio level zetu kwa sasa hata Dbanj analifahamu hilo kama uliangalia press conference mtv mama
Tuzo dai kishabeba, haya mzalendo hongera
it's ubuyu time tuzo zmeisha tungoje msimu mwingine tena
cheeeers
Kagrupu gani tena mupenziCheers.
Mweee...labda mtakuwa mnashare na sisi ubuyu.Nasikia mna kagroup kenu tu.Nimetoa pongezi jamani muwe mnaumwaga humuuu.
Kagrupu gani tena mupenzi
ha ha ha magrupu kwenye tuzo tu ubuyu ni grupu 1
Kamà mbefele Usher Raymond huyu hapa au Kanye ndio level zetu kwa sasa hata Dbanj analifahamu hilo kama uliangalia press conference mtv mama