Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Hehhehehe

Hii kawafanyia waliompa kura au haters waliosababisha akaambulia kamoja!!!!!!!????

Huyu dogo sjui kama huwa anajielewa sometimes.

Amewafanyia waliompa kura maana wameshindwa kupigia vipengele vya maana wakampigia nyingi kwenye mnenguaji bora wa mwaka.
 
Hii suti aliovaa diamond leo n hatari sn mnaweza nisaidia sehemu alionunua nami nikanunue

Hahahaaaa si unaona sasa lilivyo lijinga?
Khe khe kheeeededdddd
Eti kioo cha jamiiiii?
Bwahahaaaahahaaaaaaaaaaaaaa
 
Jaman Team mond poleni sana.
siku nyingine mwe mnavote kwenye vipengele vya maana hahahaaaaaa lakini ata ivyo bora mliongeza nguvu huko huko kwa flavour maana mngejidai kupambana na mwanamuziki bora wa kiume mkikuwa kwenye ndegenow mnaenda india kwa matibabu hahahaaaaa bwahaaaaaaaaaaaaa
 
Everything takes time, but this shit came fast
Niggas standin’ in line, they wanna hold me back
I multiplied my hustle, stimulated my mind
Motivated my niggas and we’ll never divide, no
 
Bongo raha sana mtumbuizaji bora alikiba alitumbuiza wapi na anamshinda mpaka mtumbuizaji bora wa Afrika dah
 
Amewafanyia waliompa kura maana wameshindwa kupigia vipengele vya maana wakampigia nyingi kwenye mnenguaji bora wa mwaka.

Bila shaka.

Hahahaaa,tukisema dogo ni kilaza tunapigwa mawe.
 
Bongo raha sana mtumbuizaji bora alikiba alitumbuiza wapi na anamshinda mpaka mtumbuizaji bora wa Afrika dah

Hahahaaaaaaa ndo ivyo....
Domo ni mkata maunooo hahahaaaaa...
Kweli kamfunika kiba maana king anacheza kiume..
Sema ujue nini pigeni kura acheni mboyoyo.
 
Damn, here we go again.
everybody sayin' what's not for him
everything I'm not, made me everything I am
damn, here we go again.
people talk shit, but when shit hits the fan
everything I'm not, made me everything I am
and I'm back to tear it up
haters, start your engines
I hear 'em gearin' up
people talk so much shit about me at
barbershops
they forget to get their haircut
OK fair enough, the streets is flarin' up
'cause they want gun-talk, or I don't wear
enough
 
Mimi sikupiga kura kwa diamond, ila nimempongeza, majitu yamekuja juuu!
Kaah bora sikupiga maana ningekuwa najiona mjinga sana.
Was right from the beginning.
Uzalendo juu ya Afric kwanza.
Kura yangu kwa Davido haikwenda bure.
Palipo Davido Ndomo haikai.
Siku njema.
 
Damn, here we go again.
everybody sayin' what's not for him
everything I'm not, made me everything I am
damn, here we go again.
people talk shit, but when shit hits the fan
everything I'm not, made me everything I am
and I'm back to tear it up
haters, start your engines
I hear 'em gearin' up
people talk so much shit about me at
barbershops
they forget to get their haircut
OK fair enough, the streets is flarin' up
'cause they want gun-talk, or I don't wear
enough

Huruma
Hamkutegemea.Its time to get a haircut downstares maana mkikua overwhelmed sana maisha yenu yalisimama.
I wonder if unawapenda family yako ivi.Ushabiki Kitumbua tu
 
Huruma
Hamkutegemea.Its time to get a haircut downstares maana mkikua overwhelmed sana maisha yenu yalisimama.
I wonder if unawapenda family yako ivi.Ushabiki Kitumbua tu

Mashavu yamewashuka mweeeeee hahahaaaaaaaa.....
Hawataki ata pongezi akyananii jana nimecheka sanaa yaaani lol...
Mnenguaji bora tuu watu wakaanza kukamua ndimuu baaada ya muda izo ndimu walizinywa bila kupendaaaa.....
 
Mimi sikupiga kura kwa diamond, ila nimempongeza, majitu yamekuja juuu!
Kaah bora sikupiga maana ningekuwa najiona mjinga sana.
Was right from the beginning.
Uzalendo juu ya Afric kwanza.
Kura yangu kwa Davido haikwenda bure.
Palipo Davido Ndomo haikai.
Siku njema.

Hàhahahaha sisi mbona hatumchukii kibakuli?? Kura yangu kwenye daladala awards nampa kwa moyo mweupeeeeeee.. 👍
 
Mashavu yamewashuka mweeeeee hahahaaaaaaaa.....
Hawataki ata pongezi akyananii jana nimecheka sanaa yaaani lol...
Mnenguaji bora tuu watu wakaanza kukamua ndimuu baaada ya muda izo ndimu walizinywa bila kupendaaaa.....

Eti unatoa pongezi uzalendo umeujua leo?
Kwani Simba ikishinda shabiki wa yanga hapaswi kupongeza.
Bla bla ujinga tupu.
Ndo nshapongeza kama hawataki wanifungulie thread.
Na utoto wao huu naujua ila haunipi shida.Kuna watu wanajiona kama wao ndio akina zari jamani
 
Hàhahahaha sisi mbona hatumchukii kibakuli?? Kura yangu kwenye daladala awards nampa kwa moyo mweupeeeeeee.. 👍

Nani kaongelea chuki hapa?
Wewe naona akili yako yote imeshawehuk kwa Ushabiki.Infact una ujinga ulopitiliza.
Mnapenda kudolishia utadhani wewe ndo mwanamke wa D?
Aibu.
By the way, Hongera sana Zarina.
Na uwe unajifunza, kumshabikia Jayz haimaanishi unamchukia Kanye West.Grow up.
 
Eti unatoa pongezi uzalendo umeujua leo?
Kwani Simba ikishinda shabiki wa yanga hapaswi kupongeza.
Bla bla ujinga tupu.
Ndo nshapongeza kama hawataki wanifungulie thread.
Na utoto wao huu naujua ila haunipi shida.Kuna watu wanajiona kama wao ndio akina zari jamani

Akina zari hahahaaaaaa watambireeee....
Walivyokuwa wanajipendekeza vote for daimond kuweni wazalendo ina maana kwenye ushindi hamna uzalendooooo.....? Urereeeeeee ata ivyo ni katuzo cha kukata mauno hivyo wanajua kabisa hastahili pongezi.
 
Akina zari hahahaaaaaa watambireeee....
Walivyokuwa wanajipendekeza vote for daimond kuweni wazalendo ina maana kwenye ushindi hamna uzalendooooo.....? Urereeeeeee ata ivyo ni katuzo cha kukata mauno hivyo wanajua kabisa hastahili pongezi.

Mtu anakujia juu kisa umetoa pongezi, ungekaa kimya ingekua ten mambo mengine.Sasa wataanza kumtaka Kiba atoe Pongezi. Ruttashobolwa ivi ulilala kweli waitu?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom