Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Mbona iyo nyimbo Nana haipo kwny izi awards ilikuwa kabla

Haikuwepo ila video imeongeza kura wewe, flavour ni balaaaa kwen utumbuizaji. Mmecheat again😀😀😀😀😀
 
Haikuwepo ila video imeongeza kura wewe, flavour ni balaaaa kwen utumbuizaji. Mmecheat again😀😀😀😀😀

Ingekuwa nyimbo zina ongeza kura basi wiz kid anage chukua tuzo ya best male n wimbo wa ojuelegba
 
Ingekuwa nyimbo zina ongeza kura basi wiz kid anage chukua tuzo ya best male n wimbo wa ojuelegba

Wiz kid mbele ya davido hatambi kijana, kumbuka davido kafyatua na meek mill na kitu kinashika chati
 
Inaonekana uzalendo kwa Vanessa haukufanya kazi !! Walimpgia kura dai tu au ?

V money cjui kimetokea nn maana yeye hadi wakina team wema, team kiba n mond walikuwa kwake may be ilikuwa unafiki kupost picha me idadi za kura nilizompigia vanessa n diamond zipo sawa
 
V money cjui kimetokea nn maana yeye hadi wakina team wema, team kiba n mond walikuwa kwake may be ilikuwa unafiki kupost picha me idadi za kura nilizompigia vanessa n diamond zipo sawa

Wamecheat again hapa bila chenga ila teamkiba Mimi ckumpigia
 
Ila kiba c alimpost v money naona best collabo imenda ilipo stahili kwa aka all eyes on me hamna cha diamond wala davido

Kwahiyo diamond hakustahili best collabo ?
Kiba alimpost kwasababu Vanessa na yeye anampostig inawezekana hakupiga hata kura 1
 
Kwahiyo diamond hakustahili best collabo ?
Kiba alimpost kwasababu Vanessa na yeye anampostig inawezekana hakupiga hata kura 1

Bumbum n nzuri ila haiku hit sn n kukubalika km all eyes on me ya aka n burna boy aliua sn kwa chrous
 
jamani kuna hii video ya miccasa ambamo mwanzo kuna mzee anamfundisha mwanaye kudance then dogo anaenda club, anaintroduce ile style then mwisho anaondoka na demu, kama kuna mtu anafahamu jina lake anijulishe
 
Kwahiyo diamond hakustahili best collabo ?
Kiba alimpost kwasababu Vanessa na yeye anampostig inawezekana hakupiga hata kura 1
best collobo isingeenda kwa diamond,Ile ngoma aliyoshindanishwa hawezi kushinda,ingekuwa hii nana ya sasa angeshinda,kaingizwa kwenye hiyo category kwa ngoma isiyo na mvuto
 
best collobo isingeenda kwa diamond,Ile ngoma aliyoshindanishwa hawezi kushinda,ingekuwa hii nana ya sasa angeshinda,kaingizwa kwenye hiyo category kwa ngoma isiyo na mvuto

Nakubaliana na wewe Viol
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom