Aiseee kila kitu tunawazidi mmetuzidi nn :what: nimekumbuka mlicho tuzidi n kuzalisha n kitelekeza watoto
Aiseee kila kitu tunawazidi mmetuzidi nn :what: nimekumbuka mlicho tuzidi n kuzalisha n kitelekeza watoto
sasa hebu angalia nuh mziwanda na rich mavoko follower sasa hebu fafanua vizuri mtu akiwa nao wengi folower ndo anajua mziki au ur point plz we need?????Aiseee kila kitu tunawazidi mmetuzidi nn :what: nimekumbuka mlicho tuzidi n kuzalisha n kitelekeza watoto
ok nijibu hili swali ukiwa na follower wengi ndo unajua mziki au vp?
800-336 = 464 sasa hapo kiba hajamfolow mtu wala hajafanya collabo ya nje hata moja sasa unaakili kweli ww ©kedrick
Aisee ujui muhimu wa kuwa N followers kwa mziki are serious
Kwan kufanya collabo nje ndo utakuwa n followers wengi wema mbona Ana followers wengi kafanya collabo ya nje n nani😀:what::what::what:
ok u failed to answer my qn xo u aint nothing rather than hatred to kiba
kwa hiyo mziwanda na mavoko nani anajua mziki ??? hebu fafanua basi ueleweke mtu akiwa na follower wengi anafanyaje??
Acha nao hawa kedrick si unajua small mind wanafocus kwenye mambo yasiokuwa na msingi
Team stress vs team no stress..
Ha haa basi mtulie sio kaz kujadil ndumba za mmanyema dai...
Ha haa lazima tuje kumake clearence ya pumba za hum kuhus dai... sjaja kujadil kuhus king kibaaa...
Ha haa meseg imefika wazee wa majungu na kumnukuu vibaya mtaalam wa muzik afrika..
team no stress
Ha ha... wafa maji mmepata kisingizio kwamba ndumbaa ....lambeni ndimuu
Kuja huku ni kwa yeyotee mimi kiba namweshimu.. sina tatzo na king ila nyinyi tim yake ambao kaz majungu
Siez mtukana wala mdis kibaaa...ila team stress
Kashazoea..huyo. team stress
he heee... ndimuu imewachanganya..
Adui anafatwa alipo na kupigwa kwakeee...
sumbai nakuheshimu ujue lakini acha leo ni kujibu.Poleee... mwambie king azidishe juhud tuu..
Labda anaeza fikia walau robo..
atuachie ndumba zetuu..
Hayaaaa chekecha cheketuaaaaaa
Hayaaaa chekecha cheketuaaaaaa
Hivi amchoki kucheketua. Nusu mwaka huu mnacheketua tuuuu
Kizuri hakichoshi..mziki wa king si big G kama wa yule
Wazee wa mashindano at work, hawa watu kwa kula matapishi hawajambo, kila siku huwa wanajifariji kuwa hawashindani na King, ila wanachofanya ni quiet different, hiviii kumbe Kiba anawasumbua kiasi hiki!! Ila ndio vizuri maana ndio mnazidi kujidhihirisha kutokujiamini kwenu, mtapanik sanaaaaa ila King hana habari anafanya yake tuuu.
Nyie hangaikeni weeee ila ndio mnazidi kumpaisha yaani, na mnajua ni jinsi gani he is baaaaad, he cant let you sleep you know, hollaaa at King.
Dia umeona wachawi wanavyojitajaa?