Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,292
yani atoto wakubali wakatae KINGKIBA ndo anarejea tena kwa speed kama ya rocket asee.
yaah!...yani yule meji Alabi ni hataree,maana kaniwekea na effects za muvi za kutosha kwenye kile kideo,i wish kiba afanye nae kazi nyingine yule jamaa.
Jamani Kiba namukubali balaa yani nyimbo zake hujizujilia kuzitunga sana. Yani kwa mashairi tu ka ule wimbo wa mwana pale aliposema, mwenda tezi na homo marejeo ngamani alinifurahishaje sasa inabidi BAKITA wamu recognize kwa kukuza kiswahili kwa misemo yake loh.
#ChekechaCheketua
Kabisaaaa, hebu achana na huyo mtu bwana.
Chekecha cheketuaaaaa.
Pamoja mkuu wangu na weew piaanawatakia usiku mwema get ready for big things from silent killer kingkiba
mic all of u
nawatakia usiku mwema get ready for big things from silent killer kingkiba
Kabisaaaa, hebu achana na huyo mtu bwana.
Chekecha cheketuaaaaa.
Hivi kafuta tena comments ngoja nicheki. Kinachomfanya awe anafuta nini utoto mwingine bwana.
Mie kwenye prof langu ni mwendo wa hidden na deleted mpaka kero basi tu.
Ila wanabore sana
Pamoja mkuu wangu na weew piaa
Kwenye maisha kuna kubadili stragegy, Kiba ni mwanamuziki bora kabisa lakini nahisi watu alionao karibu hawamsaidii.
Unajuwa pale Ulaya kuna Christian Ronaldo na Messi kwa anayejuwa mpira anawajuwa hawa watu vilivyo na uwezo wao.
But/lakini kwenye tuzo za mchezaji bora kila mwaka anabeba Messi, Ronaldo anaishia kuwa msindikizaji tu.
Ila sasa ukirudi kuwauliza watu wa mpira wanaofatilia kweli mpira kati ya Messi na Ronaldo nani ni mchezaji bora watakwambia ni Ronaldo.
Peleka Ujinga huko
hivi wakuu data ni jinsia gani
Unanitaka.. Njo PM.
hivi wakuu data ni jinsia gani