Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Attachments

  • 1436033502357.jpg
    1436033502357.jpg
    32.6 KB · Views: 84
Last edited by a moderator:
me nipo ila mambo yanabana tyuu so huwa nakosaga muda wa kucomment diva,vipi lakini uko poa?

Niko biyeee kabisa. Nili miss uwepo wako huku.


hawa jamaa bhana...utasema hawana uzi wao.

Hawa hawajiamini na mtu wao wanafikiri tunashindana nao. Na wana ugonjwa wa kutokubali wengine wavishabikiao. Inabidi tuwazoee tu hamna jinsi.
 
Niko biyeee kabisa. Nili miss uwepo wako huku.




Hawa hawajiamini na mtu wao wanafikiri tunashindana nao. Na wana ugonjwa wa kutokubali wengine wavishabikiao. Inabidi tuwazoee tu hamna jinsi.

ndo ivyo diva hiyo ndo habaree yao.
 
Niko biyeee kabisa. Nili miss uwepo wako huku.




Hawa hawajiamini na mtu wao wanafikiri tunashindana nao. Na wana ugonjwa wa kutokubali wengine wavishabikiao. Inabidi tuwazoee tu hamna jinsi.
Diva uliona jana wakenya wanavyomuongelea King? Yaani daaah walinipa rahaaaaaa, wanamkubali mnooo king, i love this.
 
Last edited by a moderator:
Hivi kumbe tokea kichupa kitoke haujaonekana humu, aiseee we acha tu hapa ndio nakiwatch

yaah!...yani yule meji Alabi ni hataree,maana kaniwekea na effects za muvi za kutosha kwenye kile kideo,i wish kiba afanye nae kazi nyingine yule jamaa.
 
dah!...alafu kile kichupa cha kingkiba ni homaaa asee.

Ni hatare sana ni bala our Kiba rock.Hii video kanifurahisha sana.


ndo ivyo diva hiyo ndo habaree yao.
Hawa ni kuwazoea tu watu tumetofautiana uelewa sana.




Unaacjaje kumpenda King jamani!! Labda kama una matatizo yako binafsi na king.
Jamani Kiba namukubali balaa yani nyimbo zake hujizujilia kuzitunga sana. Yani kwa mashairi tu ka ule wimbo wa mwana pale aliposema, mwenda tezi na homo marejeo ngamani alinifurahishaje sasa inabidi BAKITA wamu recognize kwa kukuza kiswahili kwa misemo yake loh.
#ChekechaCheketua
 
Hahaaaaa kwani amekwambia anashindana. No need ya Ku prove kuwa yeye ni better or chochote atajisumbua tu na pyschlogical torture.

Najuwa kushindana hawezi, ndio maana nimesema ajitahidi siku moja anaweza kuja kufikia alipo diamond sasa sidhani kama ni lugha ngumu unashindwa kuielewa..

Ni kama alivyokuwa anamuona naseeb 2013 trace, mtv, amerudi amekazana na yeye ameanza kuonekana huko, sio mashindano but amekuwa inspired na si kwa hilo tu ni mengi..
 
Back
Top Bottom