Whats wrong with u.? Watoto hamjanywa chai bado.
Heheheee shostito bhanaaaa.
Usipotezee maumivu.
Leo mwanaume pwilo kakupa makavu. Hana shida ya demu so kajipendekeze kwingine. Na pia kaka zangu humu ndani hawazami topeni so huku huna soko
Last edited by a moderator: