hii video blaza aangeishoot Bongo tuu
hii video blaza aangeishoot Bongo tuu
We mwenzio ana hali mbaya huko unataka afwe kabisa! Bado anacheketua
hii video blaza aangeishoot Bongo tuu
Nimefanya kazi ya Cormecial advertisement for Tv kuanzia mwaka 1998 mpaka 2003 five years net nchi za watu.
Video ya Kiba siyo simple kama unavyotaka kuamini, kukodisha vitu vya zamani ni gharama sana nchi za wenzetu.
Nikiwa kwenye kazi hizi art department tuliwahi kufanya tangazo moja lionekane la miaka 100 iliyopita, nilishiriki kuzunguka nje ya miji kukusanya mavazi na masanduku ya kizamani kuna watu wanavitunza for hire, na walioshiriki Tangazo walilipwa pesa vizee kutoka mataifa mbalimbali ili kukamilisha Tangazo na mchanganya rangi wetu ana uwezo wa kuchanganya rangi gari mpya ikaonekana imechakaa kama ya miaka 30 iliyopita.
Kwa mfano Director akitaka hapo mtaani aliposhoot Kiba nyumba zionekane rangi fulani tulikuwa tunapaka rangi mpya ambayo wataalam wamependeka na baad
a ya shooting mwenye nyumba ndio atachaguwa ibaki rangi ile ile au ipakwe tena rangi ile iliyokuwepo awali.
Ngoja nipekuwa mafile yangu kuna kitu kipya wengi watajifunza hapa, ni kazi ambazo tumezifanya miaka 15 iliyopita ila Tanzania mpaka leo hakuna kampuni yeyote inayoweza kuset up tuliyofanya 15 years back.
Nachekaga kweli hata hall la kufanyia Tv talk show Wabongo bado hawawezi, anayekosoa video ya Kiba ni wakuonewa huruma.
Kikulacho ya Mr Nice ni moja ya video bora sana kwa watu ambao tumefanya kazi ya art kwenye shooting.
only 14 hrs not one day no of viewers in kiba video
Unajua hii video u simple wake nilivoupenda nikitumia hayo materials ya mda mrefu ka hyo redio nakumbuka nikiwa mdogo walikua wanaita redio mkulima hayo magari ya zamani. In short nimeipenda sana kumbe kuya kodi ndo expensive hivo hizo assets za miaka ya nyuma.
Hata aliyetoa tu idea ya video ni kichwa pamoja na mazingira wengi hawaelewi themes nzima ya video wamezoea kufikiri video nzuri lazma iwe na wazungu,magorofa na lambojini.
hii video blaza aangeishoot Bongo tuu
Matola is one of viewers, na naelekea huko sasa hivi kushare Facebook na Wasapu.
atoto umesikia saut sol wameomba collabo kwa kibaa cc hatutegemei nigeria
Unajua hii video u simple wake nilivoupenda nikitumia hayo materials ya mda mrefu ka hyo redio nakumbuka nikiwa mdogo walikua wanaita redio mkulima hayo magari ya zamani. In short nimeipenda sana kumbe kuya kodi ndo expensive hivo hizo assets za miaka ya nyuma.
Hata aliyetoa tu idea ya video ni kichwa pamoja na mazingira wengi hawaelewi themes nzima ya video wamezoea kufikiri video nzuri lazma iwe na wazungu,magorofa na lambojini.
ngoja nikudokeze collabo ya bella na kiba inatoka eid na video yake halafu sasa chrisbrown
c umeona hadi wakenya wanashangaaa kuwa na kipaji kama cha kiba Tz halafu tunakipoteza bureee kwa bifu za kijinga