Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

unajiskiaje labda kuja kwenye uzi wa mtu mwingine kwa kusudi la kuanzisha vurugu lengo lako ni nini hasa kaka?

uzi ufungwe?
watu wapigwe ban?
au comments zifutwe?hakuna kitu kizuri km ustaarabu hukatazwi kuchangia kwenye nyuzi yoyote ila tafadhali jiheshimu bass
mana wengine tukianza mziki wetu hapaaaa...hamchelewi kuingiza wazazi wetu...!!

ustaarabu kwao ni bure
 
Mi ngoja niende kwenye uzi ule mwingine wa kiba watakuwa wameweka, kuna timu domo leo imejitolea bureeee kuweka takwimu kila mara.

Kama kawaida yao, na hizo takwimu zao ndio hutumia kutetea kila kitu, kuna muda nachekaga, na ukiona tuuu wameanza kutoa takwimu ujue tu level of panik iko ikulu, najua pwilo hapo anawachokonoa tu, km nawaona wanavyotukana kimoyomoyo, hahaaaaa Kiba kimbizaaa hao kuku, alaaah lazima tuwale nyama maana hakuna namna.
 
Last edited by a moderator:
Usifanye hivyo pls dear, atakuripoti hata huko utakula ban pia.
Halafu nikirudi rasmi nataka tuchonge sana pm mpenzi, nataka hizi habari za ban kwako zifike kikomo maana nakupendaga hujui tu.
Sasa ukipata ban nachukiaje? Pls jaribu kujicontrol hasira zako mwaya.

we hukuwepo kwenye uzi wa aly kua balozi wa wanyamapori yani kiba amenifanya nipate ban kwa mara ya kwanza..halafu wiki nzima imeisha last week...!yani bado hoja zilivyowazidi wakamuingiza mama angu,wakaja na baba angu dahhh...
nilichoka sana!!ila nimejifunza kitu kua kuna watu matusi haswa ya wazazi ni sehemu ya maisha yao bila kutukana hawaishi...

yani that day nilijua kweli kuna watu hua wanakuchukia mtu even if natumia fake id,hunijui sikujui na wengine walifurahi sana mie kupigwa halafu kumbe we waweza kua unachukulia ushabiki tu kumbe mtu hakupendi hadi moyoni daahh...!!
poleni wenye roho nyepesi...!$
 
Kiba anakubalika hatareee

we acha tu jana mwanaspoti walimtoa kwenye gazet lao wakasema kaa mbali na kiba ww kama hujasoma umekosa uhondoo cut b
 
Last edited by a moderator:
Hahaaaaaa!! Mbona siwaoni wazee wa takwimu jamani

Mtani badilisha avatar...!
Teh Teh...namimi nimeiangalia hiyo video kwa hiyo nimesaidia kuongeza ...and i did it for you...Teh Teh...
 
Ukome kunimention mpuuzi wewe, tena ukome kuanzia leo naomba usahau kabisa kama kuna id ya nifah humu JF.
Sitaki unafiki mimi....awepo msemaji asiwepo wewe kinakuuma nini?
Hii thread ni ya Kiba fans wote, huyo Matola na warumi ni members tu kama wengine.
Tena tuache tufanye tutakavyo, hicho cheo cha kutupa muongozo nani kakupa?

Ooh!
Umenipa rahaaa!
Miss youuuu...unafiki mwisho tandaleeeeee! Mjini kila mtu cheketua!
 
Last edited by a moderator:
Kama kawaida yao, na hizo takwimu zao ndio hutumia kutetea kila kitu, kuna muda nachekaga, na ukiona tuuu wameanza kutoa takwimu ujue tu level of panik iko ikulu, najua pwilo hapo anawachokonoa tu, km nawaona wanavyotukana kimoyomoyo, hahaaaaa Kiba kimbizaaa hao kuku, alaaah lazima tuwale nyama maana hakuna namna.

mi naangalia kila baada ya nusu saaa nyc video from king
 
Last edited by a moderator:
Yaani yule demu anavyonyongesha hata mpenzi wangu cute b haoni ndani, halafu king naye yupo kwa nyuma anaangalia msambwanda
 
Last edited by a moderator:
Habari za siku tele wanafamilia wenzangu wa hii team ya wastaarabu kupita zote humu JF. Nawapongeza ndugu zangu walio kwenye saumu, pia nawapongeza kwa wale wanaowasindikiza bila ya kuwakwaza walio kwenye saumu ili watimize vizuri funga zao ambayo ni moja ya nguzo za Uislam.
Kiukweli nimewamiss sana, na nakosa raha kila ninapokosa muda wa kuingia humu, hasa kwa wakati kama huu ambao King Kiba wameifanya kazi kubwa sana inayotusaidia kunyamazisha vilaza wanaoshabikia muziki usioimbwa kwenye nota za muziki wala kuandikwa kitaalam.
Mwajiri wangu amekuwa akifanya nipate nafasi finyu sana ya kuwa hapa, tofauti na wakati ule nilipokuwa naongeza ujuzi nikiwa nchi fulani. Ila tuombe uzima, baada ya miezi michache nitarejea humu kwa nguvu ile ile ili tuwafundishe kwa pamoja wasiojua muziki, na badala yake wanachojua ni ushabiki tu wa muziki.

Ova
 
c umeona hadi wakenya wanashangaaa kuwa na kipaji kama cha kiba Tz halafu tunakipoteza bureee kwa bifu za kijinga

Yeah tena wanashangaa hatari, hiki kipaji sio cha kupoteza hataaaa kwa bahati mbaya kwakweli, hiki ndicho kipaji cha kujivunia kama nchi haswaaaaaaa!
 
Sijaliona bana hilo ilibid tulifungulie thread, ukiona hivyo vitu please tupia hapa bana wadau tuone how king anakuwa appreciated.

aisee wanasema kiba ndo msanii anayetumia kiswahili fasaha kwenye mziki mfano "mwenda omo na tezi marejeo ngamani " anasema maana yake mwenye pupa hafanikiwi hta siku moja
 
Tumefikia viwers hao ndani ya one month
 

Attachments

  • 1435688963309.jpg
    1435688963309.jpg
    38.4 KB · Views: 56
Yaani walitegemea magari ya kifahari na location expensive ila alichofanya meji alabi ni hatari, kachukua van moja model ya zamani na ile nyingine tulikuwa tunaita mgongo chura, pia kellys alifanya kazi nzuri kwenye kuvaa #vivakiba
 
Back
Top Bottom