Karibu PM., feel at home.
Poa...
Karibu PM., feel at home.
Video mbovu inaonyeshwa trace sasa ivi
Jamani my dear nifah nilikumicje sasa jamani at least umetia timu kusherekea chekecha aisee.
Sio tu mamluki na wanafiki juu watuachie kiba wetu.
Haya maharage waliyokula ni hatari sana in gwajimaz voice. Kwanini wafute comments bila sababu na walikua wapi siku zote tukiwaita@Moderator kwanini mnafta comments zetu hamjui kuwa na sie tunapoteza mda wetu Ku comment basi fungeni Uzi.
Poa...
nifah karibu tena my sister. tuburidike na chekecha video
Niachane nalo au nilifate pm mkuu? Ujue linanigandaga sana naona leo nisililazie damu.
Ebu mkuu niambie.
wewe sikia dogo umeshakanywa sana uache jeuri husikiii sasa unatutafutia ban ww hivi unajua tunaongelea nn
Haya maharage waliyokula ni hatari sana in gwajimaz voice. Kwanini wafute comments bila sababu na walikua wapi siku zote tukiwaita@Moderator kwanini mnafta comments zetu hamjui kuwa na sie tunapoteza mda wetu Ku comment basi fungeni Uzi.
Nilicomment mbili moja ikanyofolewa baadae nikahisi labda sijaangalia vizuri.....za jana nazo sizioni. Daaaahh ama kweli ni shidaaaah!!
Hapana dola Leo n 1927
wewe sikia dogo umeshakanywa sana uache jeuri husikiii sasa unatutafutia ban ww hivi unajua tunaongelea nn
Mimi lile vuguvugu lilivyoanza Wallah kidogo niingie humu.
Sio kwa kuponda kule alikokua anafanya Abou Saydou na wenzie..
Shukrani kwa atoto maana alikua anamkataza kila alivyokua anazidisha.
Kiukweli Abou Saydou ulinikera mnooooo mdogo wangu, bahati yako tu sikuwa huku la sivyo tungegombana.
Hadi nikasusa kuwachungulia humu siku 2 baada ya kuja nikakuta upepo umetulia na wewe umegongelea nyundo zako nilifurahi sana.
Sio vibaya kusema ukweli ila kule wenzetu walizidisha, sio kihivyo jamani!
nifah unajua jana @ bloger alisemaje kuhusu video mpaka tunahasira naeUsifanye hivyo pls dear, atakuripoti hata huko utakula ban pia.
Halafu nikirudi rasmi nataka tuchonge sana pm mpenzi, nataka hizi habari za ban kwako zifike kikomo maana nakupendaga hujui tu.
Sasa ukipata ban nachukiaje? Pls jaribu kujicontrol hasira zako mwaya.
Usifanye hivyo pls dear, atakuripoti hata huko utakula ban pia.
Halafu nikirudi rasmi nataka tuchonge sana pm mpenzi, nataka hizi habari za ban kwako zifike kikomo maana nakupendaga hujui tu.
Sasa ukipata ban nachukiaje? Pls jaribu kujicontrol hasira zako mwaya.
Miss you too mupenzi ake, unanifurahishaje siku hizi?
Nakusomaga unavyowapa watu za uso nacheka hatariiiii.
Kaza mama, uzi huohuo...
Asante sana ndugu yangu, nimepagawa hadi nikashindwa kujizuia nikaingia humu nije kufurahi na nyie....
Jamani mkae mkijua niko pamoja nanyi always, kule YouTube mkiangalia video hata mimi mjue naangalia nanyi pia...
Hapa nawasoma sana basi tu siwezi kuwajibu.
we kalia kuhate mwenzio kila ikichezwa anaingiza mpunga
Hawa wamenibore hawa akina invisible waache mihemko mbona za wengine hawafuti, wawe wana jicomentia basi wenyewe au waufunge Uzi. Kina wanaongozwa na mihemko waseme mfyuuuuuuuuu.