Ali Kiba Fans' Special Thread...

Avemaria hapo hata kasatifiketi huna je ukipata kadegree si tutakukimbia, hii akili kubwa mno ujue.
 
Last edited by a moderator:
Hahahaha Dai na management yake washapanic, oyoooooo kingKiba

Wao wanadhani kuimba kinaijeria ndio kimataifa, Twende Kiba hakuna kulala

#Rockstar4000 presents
 

There is something going on behind the scene, waelewa wanaelewa
#chekechevideovibes
#i 'llalwaysloveyouking
 

Wanajifaragua tu hao.
Na ndo maana wanatumia nguvu nyingi sana waendelee kuwepo kwenye ramani.

Asante King, energy kidogo mwitikio ewaaaa!!
 

Tunatofautiana sana umri humu, ukikuwa utaelewa tu kwa sasa hata kwa bakora huwezi kunielewa. Soma kwa bidii na maarifa utakuwa muelewa.
 
Hivi wema jana kasemaje vile kuhu tuzo za KTMA juu ya kumpigia kura kiba... daaa wema bwana napenda kweli kipond chako

Wewe ni ndoooorobo wa wapi wewe??? Campaign ni jambo la kawaida ulitaka akae kimya asijipromoti??? Hivi ulikuwa husikii hata kina lina na barnaba wakiwa promoted na clouds??? Au boss wako mondi sasa anavyoomba kura kwa kutengeneza ads kibao na baadhi ya wasanii wenzie kumpromoti??? Na sasa hujaona davido akiweka bendera ya bongo na yemi alade kuweka ya kenya??? Huko ni kuomba votes mama eeeee usijifiche sana ndani mpaka mambo ya huku nje yanakupita hujui hata industry inaendaje
 
Wanajifaragua tu hao.
Na ndo maana wanatumia nguvu nyingi sana waendelee kuwepo kwenye ramani.

Asante King, energy kidogo mwitikio ewaaaa!!

Aiii teeena, wao waendelee kupoteza energy zao tu, maana hata sioni wanachoendelea kuprove
 
Hahahaha Dai na management yake washapanic, oyoooooo kingKiba

Wao wanadhani kuimba kinaijeria ndio kimataifa, Twende Kiba hakuna kulala

#Rockstar4000 presents

Nao hata waimbe sijui mdundiko ila washaisoma, King nikimbizie hawa watu wanaokimbia mbio wasizozijua! Alaaaaaa
 
Tunatofautiana sana umri humu, ukikuwa utaelewa tu kwa sasa hata kwa bakora huwezi kunielewa. Soma kwa bidii na maarifa utakuwa muelewa.

Hahahahaha we ngoja nikuache mana timu chibu isijenivamia bureeee mana ndio watetezi wako. Anyway kama baridi kuwa baridi na kama moto ni moto, la sivyo unaonekana kungulu tu.
 
Hahahahaha we ngoja nikuache mana timu chibu isijenivamia bureeee mana ndio watetezi wako. Anyway kama baridi kuwa baridi na kama moto ni moto, la sivyo unaonekana kungulu tu.

Sawa Great thinker, una akili nyingi sana ubarikiwe.
 

Kiba anajulikana hapo mwananyamala kwenu. Nje ya hapo ni underground kama nuhu mziwanda tu...
 

Huyo Ali kiba katangaza wimbo gani mpya kwan
 
Kiba anajulikana hapo mwananyamala kwenu. Nje ya hapo ni underground kama nuhu mziwanda tu...

Hahahaha nafurahi kusikia kwamba mi na wewe tunakaa hapa mwananyamala kwa sababu umemjuaje kama wewe upo nje ya mwananyamala???? Karibu chama kubwa mzee.
 
Mi namshangaa huku kudrop video kila siku kunamshusha sana, hivi haoni tanzania nzima sasa inazizima kwa kusubiri cheketua??? Ajifunze kwa the #king kiba

Toka mda alisema After 3/month ana dondosha video mpya we mbona davido last year alitoa owo n Koko halafu akaja kutoa the sound sasa ivi ana fans mi ukiwa na ela everything is possible n library zpo nyimbo nyingine sn zina video tayari bado kuzifumua tu sio mnatoa audio video hata miezi 7 au mwaka toka audio itoke
 

Habari za kuamka, ushapiga mswaki lakini
 

Aiseeee bora umeambia maana wanaona ajabu diamond anavyo fumua video hawazoea kwa k kutoa video n audio pamoja washazoea viporo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…