Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

ulikuwa unaponda swala la kiba kuhamishwa nyumba, swala la rockstar kuuza nyimbo then leo unajifanya unatetea, we ponda maana sisi huwaga hatujali maneno yenu, kuwa kama mwanaume, jiamini

Umechanganya Id zao zinaendana.
 
Hahaaaa hongera zako mama from division five qt ukamaliza nao unaanza kasatifiketi jitahidi mana hata mbuyu ulianza ka mchicha utashangaa una PhD yako. Usijali michango utaipata tu.

Na sasa nimeamua siachii mpaka kieleweke, elimu muhimu ati, si unaona tunavyodharaulika hapa, ngoja nipambane, ila sasa wasicheleweshe mchango wa ada maana hali tete
 
Oyoooooo kitu cha chekechaaa kwisha kazi.
King anasema DONE DONE DONE
 

Attachments

  • 1435333273807.jpg
    1435333273807.jpg
    47.4 KB · Views: 75
Hii video inaonekana mwakan itachukua vipengele vyote vya video bora teeeeeehteeeeh. Safiii Kiba achia taratibu taratibu ili zituingie vizuri
 
Nadhani lengo la mleta mada ni kutuambia kuwa ALLY KIBA NI MSANII CHIPUKIZI, ila ataianzishaje mada yaivo wakati kila siku anajifanya yeye ni team yake ndo mana kaja kwa namna hii
 
Back
Top Bottom