Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Mchiwa Ng'ambaku

ile screenshot mliyoitupia kwenye ule Uzi wa menejimenti ya kiba kuiba nyimbo ya Mondi ni uongo?
 
Last edited by a moderator:
Hhahahaahahahah

Eti video na Audio

Nenda kawaulize Global.....kwani mie ni gazeti?

mkuu hao global si ndo tulisema kule kwenye Uzi wa kiba tusiwaamini,sasa kivip tena nikawaulize?..Mimi nataka wewe uliyecomment uniaminishe kwa ushahidi kama huna basi ni uongo huo na muache kuspread rumours zenu.
 
sijui kwanini mnapenda kupata attention, juzi ulikuwa unaponda leo unasifia, just be real mbona wenzako wapo wanapondea jiunge nao

funguka vizuri apo nilikuwa naponda nini iyo juzi? na leo nimesifia nini?...maana nacomment nyuzi nyingi ndugu kutokana na mada husika.
 
mkuu hao global si ndo tulisema kule kwenye Uzi wa kiba tusiwaamini,sasa kivip tena nikawaulize?..Mimi nataka wewe uliyecomment uniaminishe kwa ushahidi kama huna basi ni uongo huo na muache kuspread rumours zenu.

Mlisema na nani?

Kwa nini tuwaamini Bongo 5 na tusiwaamini Global?
 
funguka vizuri apo nilikuwa naponda nini iyo juzi? na leo nimesifia nini?...maana nacomment nyuzi nyingi ndugu kutokana na mada husika.

ulikuwa unaponda swala la kiba kuhamishwa nyumba, swala la rockstar kuuza nyimbo then leo unajifanya unatetea, we ponda maana sisi huwaga hatujali maneno yenu, kuwa kama mwanaume, jiamini
 
Vote

Voteeeee

Voteeeee Vote

Voteeeee Voteeeeee

Vote for Davidiooooooooooooooo

Team Davidoooooooooo Oyeeeeeee

Team Tanzania for Nigeria oyeeeeeeee
 
Huyu si mkongwe hadi ameota Sugu

Anayechipukia tena?

Mwambieni Ajenge Nyumba kwanza sio kuishi kwa huruma za wanawake

Huyo mwanamuziki wenu ana umaarufu ambao hauko translated kwenye pesa.....ana faida gani na huo usanii>

eti Freeland hapa unaponda halafu kwenye uzi wetu unatetea, acha unafiki jombaa
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaaa nitajoin pale Kilimanjaro kwa ajili ya diploma.

Alafu wanaotuambia turudi shule wawe wanatupa na ada kabisa. Lol

Waanze basi kamchango ka ada u know hatuna ada, bora we unaanza na dipuloma mwenzio naanza na satifiketi
 
Pionaire

Hii habari iliwekwa kiuchochezi sana, aiii mie nafurahi tuu maana wanazidi kumpaisha king, let them keep on talking abt him, who else ll they talk abt sasa, he is the king you know!
 
Last edited by a moderator:
+Mkuu huko insta ulitembelea kweli au ulisimuliwa, ni wapi Salam alisema management ya alikiba wapi Kiba katajwa kwenye post ya meneja:what:

+halafu mkuu unaongea kwa uchungu, teh teh pole sana hamna namna ndo ishakua ivoView attachment 263625

Ni wapi alianzisha si yeye alianzisha kwenye page yake kuhusu hyo kampuni kumuibia Domo. Kwanini tusiamini ni yeye alikuja na fake id JF kuanzisha na kumtaja Kiba badala ya kampuni.
Lengo ilikua kumchafua Kiba aonekane hafai ka mumeibiwa si mngeenda kudai haki yenu mahakami,nyie mnaojiita internatinal recorginized why mnajihangaisha na local artist.
Mumeibiwa nendeni mahakamani kudai haki yenu sio blah blah na majungu ili tuone ni ukweli.
 
ulikuwa unaponda swala la kiba kuhamishwa nyumba, swala la rockstar kuuza nyimbo then leo unajifanya unatetea, we ponda maana sisi huwaga hatujali maneno yenu, kuwa kama mwanaume, jiamini

"RUDI TENA KWENYE NYUZI ZOTE MBILI IYO YA MADAI YA MANAGEMENT YA KIBA KUIBA na IYO YA MADAI YA KIBA KUFUKUZWA" kote humo mkuu hakuna wino wangu (comment yangu yoyote) sasa sijui unamaanisha nini labda?,na ni wapi nimesifia ivyo vitu leo?...yaweza kuwa hukunielewa somewhere ndugu.
 
Hii habari iliwekwa kiuchochezi sana, aiii mie nafurahi tuu maana wanazidi kumpaisha king, let them keep on talking abt him, who else ll they talk abt sasa, he is the king you know!

Hi atoto,naona bwana petechoka hakuelewa point yangu ya msingi so tumepishana kidogo.
 
Waanze basi kamchango ka ada u know hatuna ada, bora we unaanza na dipuloma mwenzio naanza na satifiketi

Michango wajitaidi kutoa mapema kabisa ili usichelewe. Kumbe unaanza na inaanza na QT kabisa kumbe ni kasetifiketi hongera zako.
 
Hi atoto,naona bwana petechoka hakuelewa point yangu ya msingi so tumepishana kidogo.

Itakuwa hakuelewa aisee, basi now atakuwa amekuelewa, and nimefurahia sana response yako, a gentleman's response, gud boy.
 
Back
Top Bottom